MSAADA,NATAFUTA JEANS HIZI

Good Neighbour

JF-Expert Member
Jul 12, 2017
942
896
Habari wakuu,
Naomba mwenye kufahamu anisaidie ni wapi/Chimbo naweza pata jeans hizi au aina zinazoendana na hizi kwa bei ya JUMLA
IMG_20210822_130957_194.JPG
IMG_20210822_130908_838.JPG
IMG_20210822_130735_421.JPG
IMG_20210822_130828_928.JPG
IMG_20210822_130655_079.JPG
IMG_20210822_130709_930.JPG
IMG_20210822_130856_789.JPG
IMG_20210822_130555_466.JPG
IMG_20210822_130843_784.JPG
 
BALE ZA SKINNY JEANS ZA KIKE MTUMBA GRADE A zinakuja wiki hii Dar es Salaam.

Kila bale ina jeans kati ya 100 mpaka 115, ya rangi mbalimbali.

Bei ya kutupa, bale moja kwa jumla laki 4 na themanini tu!

Usipoteze nafasi, ondoa umaskini.

Hatuuzi rejareja kwa sasa

Kwa Maelezo zaidi DM!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom