Msaada: Natafuta Hospitali inayotibu ngozi au Daktari Specialist wa ngozi hasa kwa watoto

mzungu wapink

Member
Oct 9, 2018
80
112
Sent by iOS
 

Attachments

  • IMG_1383.JPG
    IMG_1383.JPG
    146.8 KB · Views: 13
Jamani mtoto wangu is wa myaka miwili anawashwa Miguu toka akiwa na mwaka tumezunguka madaktari wa watoto tumeshindwa mtoto ngozi inamuwasha hasa nyakati za usiku nahiti kujua mahali naweza pata mtabibu mzuri amabaye atagundua chanzo cha tatizo maana wengi hawajui shida ni nini...ndio maana wqmeshindwa kumtibu...


Sent by iOS
Pole sana. Mimi sio Dr.

1. Kuna mtu yeyote hapo nyumbani ambaye alikuwa/anajikuna?

2. Mnalala na mtoto au analala peke yake?

3. Anaenda shule?

Kwa sababu huu muwasho unatokea sana usiku, na kutokana na muonekano wa vipele, nadhani itakuwa scabies. Na kama ni scabies, basi kuna mtu alimpa huyo mtoto huo ugonjwa, japo pia mtu anaweza kuupata kutokana na mazingira machafu.

Dawa za dukani zipo. Za kumeza ( ivermectin)na kupaka ( lindane lotion) Japo za kumeza haziruhusiwi kumpa mtoto ambaye ana chini ya kilo 15.

Nakushauri ununue mafuta ya nazi original kabisa na hasa yale ya kutengeneza, chukua na kipimo sawa cha mafuta ya muarobaini, pamoja na mafuta ya karafuu. Changanya hayo mafuta kwa kipimo sawa, japo mafuta ya muarobaini yanatakiwa yazidi kidogo.

Mpake huyo mtoto mara tatu kwa siku. Ila hakikisha mashuka anayolalia yanafuliwa kila siku na mnabadilisha nguo kila siku na kuzianika juani baada ya kufua. Hakikisha pia mnanyoosha nguo za mtoto kabla hajazivaa.

Mafuta ya muarobaini yanapatikana kwenye maduka ya kisuni.

Japo hatuna uhakika ni scabies lakini tumia hayo mafuta kwa sababu sio dawa ya kunywa kwamba mtoto atadhurika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom