Msaada: Natafuta eneo lililotulia nje kidogo ya mji wa Dar kwaajili ya kupumzika

Stephen Ngalya Chelu

JF-Expert Member
Oct 31, 2017
7,621
16,372
Habarini wakuu,

Natafuta eneo zuri ambalo liko nje ya mji wa Dar ambapo hakuna kelele kwa ajili ya kukaa na kutuliza akili kwa kuangalia mazingira asilia.

Nimekuwa nikifanya hivyo tangu nikiwa mkoa ila tangu nije Dar nimekuwa nashindwa kupata eneo kama la aina kama nilivoeleza hapo juu.

Kuna mtu niliongea nae majuzi akaniambia kuwa Dar es Salam Zoo panafaa lakini mimi sikuwa na lengo la kwenda Zoo.

Je, nje ya Dar Zoo katika maeneo yake ya jirani kuna sehemu za kupumzika bila bugudha yoyote?

N.B Maeneo hayo yasiwe fukwe au mazingira ya kutengenezwa na binadamu, yawe 90% natural.

Shukrani
 
NJOO HUKU MSITU WA KISARAWE KAZIMZUMBWI!
Utaenjoy sauti muruaaah za ndege mijongeo ya vipepeo!
HAUTAJUTIA
 
NJOO HUKU MSITU WA KISARAWE KAZIMZUMBWI!
Utaenjoy sauti muruaaah za ndege mijongeo ya vipepeo!
HAUTAJUTIA
 
Njoo buyuni kimbiji japo n fukwe lakn haina muingiliano wa watu utulivu asilimia 100 samak na vyakula vya asil n kwa wingi sana naul toka kigambon ni tsh 2000/=
 
Kwa Dar pako tight kiaina...ila KIBITI Pwani pako huru sana mixer kukaa na tumbiri na vikelele vya ndege kila kona.
 
...nenda temeke mtoni kijichi ndani huko kuna hotel za mafichoni unapata Na mabinti wadogo wa kupumzika nao...au kimbiji huko ukale watoto wa kiswahili...
 
Back
Top Bottom