kipoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2012
- 325
- 169
Habari wadau,
Naomba msaada wa ushauri, mawazo na namna ya kupata mtibabu ya tumbo maana linauma kama tumboni kuna moto fulani au kuna namna fulani ya mvurugano! Nimefika hospital juzi kupimwa na nikaambiwa nina typhoid! Natumia dawa lakini naona sipati nafuu. Msaada jamani!
Asante!!
Naomba msaada wa ushauri, mawazo na namna ya kupata mtibabu ya tumbo maana linauma kama tumboni kuna moto fulani au kuna namna fulani ya mvurugano! Nimefika hospital juzi kupimwa na nikaambiwa nina typhoid! Natumia dawa lakini naona sipati nafuu. Msaada jamani!
Asante!!