PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,072
- 1,846
Huwa nasumbuliwa na tatizo la mwili kuchemka kama moto,haswahaswa tumbo na kifua,sometimes na mgongoni,pia mkono wa kushoto huwa unatetemeka sana nikishika kitu,wakati mwingine mapaja hadi kwenye magoti.
Huwa yanawaka moto,vidonda vya tumbo nilishapima hadi safari mbili,but nothing, mikono na miguu nikiilalia vibaya,hata kama ni kidogo tu,inakufa ganzi,,nimeshachoka na hali hii,ni zaidi ya miaka 5 naomba nisaidieni doctors japo ki-mawazo
Huwa yanawaka moto,vidonda vya tumbo nilishapima hadi safari mbili,but nothing, mikono na miguu nikiilalia vibaya,hata kama ni kidogo tu,inakufa ganzi,,nimeshachoka na hali hii,ni zaidi ya miaka 5 naomba nisaidieni doctors japo ki-mawazo