Serikali kila mtu akiamka anaamka na tangazo lake.Si nilisikia wameahirisha mpaka watoto wetu walala hoi watakapokuwa wametoka Jeshini ndipo nao waombe bodi ya mikopp. Imekuwaje? UDOM wameshachagua tayari?
nimesikia hivyo,lifanyie kazi unijuze hapaSi nilisikia wameahirisha mpaka watoto wetu walala hoi watakapokuwa wametoka Jeshini ndipo nao waombe bodi ya mikopp. Imekuwaje? UDOM wameshachagua tayari?
wa kwangu aliomba degree na katumiwa ka sms amepataMkuu taratibu.
Mtoto aliapply kusoma nini? Diploma au Degree?
Tuanzie hapa. Pia ingia website ya UDOM UDOM Home utapata info zaidi.
Mbona wewe ulikua unalia mkopo mda mrefu ad ukapataWe mkuu kila mwaka kuomba msaada wa selection tu unazingua we.
Hilo llikuwa linasoma MATI Mtwara certificate ya kilimo, nadhani lilifukuzwa. I blocked him maana lilikuwa kero na jinga si l kujibizana nalo. Ignore the stupid burger!Mbona wewe ulikua unalia mkopo mda mrefu ad ukapata