msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,761
- 5,877
Habari..
Mita yangu inaanzia na namna 43 ..
Wadau naombeni msaada wenu ,jana nimeamka asubuhi umeme umezima , nikaweka betri kwenye mashine ya kuingizia inazunguka tu na kuchora namba nanene kisha mwisho inaandika ' AFF -Err'..
Nikapiga simu TANESCO wakaishia kunipa namba ya ripoti ya tatizo hivyo nimelala giza..
Nikajaribu kutafuta mitandaoni na nikufuata maelekezo yote lakini wapi ingawaje solutions zilikuwa za Mita zinazoanzia na 24..
Mita yangu inaanzia na namna 43 ..
Wadau naombeni msaada wenu ,jana nimeamka asubuhi umeme umezima , nikaweka betri kwenye mashine ya kuingizia inazunguka tu na kuchora namba nanene kisha mwisho inaandika ' AFF -Err'..
Nikapiga simu TANESCO wakaishia kunipa namba ya ripoti ya tatizo hivyo nimelala giza..
Nikajaribu kutafuta mitandaoni na nikufuata maelekezo yote lakini wapi ingawaje solutions zilikuwa za Mita zinazoanzia na 24..