Duh sio poa mkuuKwenye Account ya jamaa yang wamemwandikia congratulations af ukiangalia allocation wameweka hivyoView attachment 1628962
Kwako vipi mkuuDuh sio poa mkuu
Wameandika kama kwa jamaa yanguKwako vipi mkuu
Kama jamaa wakoKwako vipi mkuu
We we kwako VP..?Wameandika kama kwa jamaa yangu
Angalia post yangu ya juuWe we kwako VP..?
Naomba msaada maan nimefanya ivyo ila bdo inaniletea weup tu ndugu yangHii inawatokea mlio na user name za email au jina tofauti na form four index no;-
Kwa kukusaidia fanya ya futayo
Ukifika kwenye ukurasa OLAMS,
1. Log in kam register applicant
2. kama user name ilikuwa ni email au jina lingine tofauti na namba yako ya kidato cha nne badili na uandike namba yako ya mtihani wa kidato cha nne na mwaka wakumaliza bila kubadili password yako!!
Mfano: S2020.0004.2017
Asante, fanya hivyo unipe mrejesho!!!