Nenda pale uhamiaji posta kama uko Dar .Nenda na 2,000 /= ,tafuta peni na karatasi .sababu utaambiwa uandike barua ya kuomba na utawachia.
Pia nenda na picha.( passport size) tena wala hauna aja ya kuingia ndani ya mjengo.Ukiingia mule kwa ndani upande wa turubai utawaona.
Ahsante sana kwa taarifa. Na je Huduma hii inapatikana mkoani au mpaka nije Dar?
Ni fasta tu kisha utaambiwa uende kuchukua baada ya wiki 1.Labda kama una haraka utasema.
kama una swali la nyongeza uliza
Ahsante sana kwa taarifa. Je huduma hii inapatikana pia mkoani au mpaka nije Dar?
wana Jf naomba msaada wa kujua namna ya kupata police certificate ili kuombea visa ya kuishi ughaibuni (Albania) kwa ajili ya masomo.