Msaada: Napataje AVN na ikiwa nilishawahi unda account lakini taarifa zake nilipoteza?

Habari zenu wadau... Naomba mtu mwenye uwelewa na haya Mambo ya AVN anisaidie maana chuo wanachelewesha kuapload matokeo na mda unaenda..

View attachment 1911704
Wasumbue mara kwa mara chuoni wapeleke matokeo Nacte kwenye kansa husika. Mpigie msajili hapo chuoni ikibidi uende kama ni karibu, mpigie na mkurugenzi yaani we piga simu hadi yapelekwe.
 
Back
Top Bottom