Msaada: Napata woga na hofu wakati wa kufanya mapenzi hadi mashine inalala

Sehemu yoyote una wasiwasi huwezi kusimamisha ,unatakiwa urelax ,Mimi kuna toto moja shombe shombe nilimpiga mistari tukazeana ,nikimwita kwangu anipe mzigo anataka niende kwake,aliniambia anaishi mwenyewe ,aiseee moyo ulisita ila akili inaniambia ukikosea ndo humpati tena.

Nilienda tukapiga story mbili tatu tukaanza kuvuana nguo ,ile naweka tu jiwe likarushwa kwenye bati ,kudadeki nilishtuka ,mbona ilinywea kama tipu ya baiskeli iliyopata pancha ,nikavaa nguo nikamwambia hapa hapana twende kwangu
Hahaha pole sana
 
Nahitaji mnisaidie juu ya hili nimekua napatwa na uoga na hofu wakati wa kufanya mapenzi haswa wakati nakutana na manzi mpya.

Wakati mwingine nikikutana na msichana pisi kali ndo napata uoga kabisa na hofu
Niwaambie kwamba nikiwa na msichana ambaye nilishawahi kufanya nae napiga show kama kawaida na show na magoli ya kutosha tu au nikiwa na msichana ambaye nimeshamzoea inakua sio shida na nguvu ninazo za kutosha na sina tatzo la kiume kabisa.

Ila nikikutana na msichana mpya hiyo siku naingiwa na uoga kinoma, yaani nakua na hofu hadi dushe linalala hii inanisababishia hadi napaniki.

Hili tatizo linanitesa sana siku hizi nashindwa hata nifanyeje maana imefika mahali hata nikiwaza kukutana na msichana mpya yaani naingiwa na uoga na hofu sana kwamba mambo yatakua vile vile tu.

Naombeni msaada wa kudeal na hili tatizo linaninyima raha sana.
Pole
 
Nyumba za kupanga unaingiza mtoto ndani unawasha mziki unaanza shoo, Shoo inakolea umeme unakata ghafla unamziba mdomo.
Wakati wa kutoka unakutana na mashemeji wamejipanga kwenye korido.
Yaani wambea kama hao nawapendaga mno, yaani napta vizuri mno uku tukipiga storiii
 
Nyumba za kupanga unaingiza mtoto ndani unawasha mziki unaanza shoo, Shoo inakolea umeme unakata ghafla unamziba mdomo.
Wakati wa kutoka unakutana na mashemeji wamejipanga kwenye korido.
Hawataamini yaani! Watu wambea ndio dawa yao, ukauzu tu.
 
Fanya maromance kwa muda mrefu ili kuweza kuwa calm kabla ya penetration.

Nahitaji mnisaidie juu ya hili nimekua napatwa na uoga na hofu wakati wa kufanya mapenzi haswa wakati nakutana na manzi mpya.

Wakati mwingine nikikutana na msichana pisi kali ndo napata uoga kabisa na hofu
Niwaambie kwamba nikiwa na msichana ambaye nilishawahi kufanya nae napiga show kama kawaida na show na magoli ya kutosha tu au nikiwa na msichana ambaye nimeshamzoea inakua sio shida na nguvu ninazo za kutosha na sina tatzo la kiume kabisa.

Ila nikikutana na msichana mpya hiyo siku naingiwa na uoga kinoma, yaani nakua na hofu hadi dushe linalala hii inanisababishia hadi napaniki.

Hili tatizo linanitesa sana siku hizi nashindwa hata nifanyeje maana imefika mahali hata nikiwaza kukutana na msichana mpya yaani naingiwa na uoga na hofu sana kwamba mambo yatakua vile vile tu.

Naombeni msaada wa kudeal na hili tatizo linaninyima raha sana.
 
Nahitaji mnisaidie juu ya hili nimekua napatwa na uoga na hofu wakati wa kufanya mapenzi haswa wakati nakutana na manzi mpya.

Wakati mwingine nikikutana na msichana pisi kali ndo napata uoga kabisa na hofu
Niwaambie kwamba nikiwa na msichana ambaye nilishawahi kufanya nae napiga show kama kawaida na show na magoli ya kutosha tu au nikiwa na msichana ambaye nimeshamzoea inakua sio shida na nguvu ninazo za kutosha na sina tatzo la kiume kabisa.

Ila nikikutana na msichana mpya hiyo siku naingiwa na uoga kinoma, yaani nakua na hofu hadi dushe linalala hii inanisababishia hadi napaniki.

Hili tatizo linanitesa sana siku hizi nashindwa hata nifanyeje maana imefika mahali hata nikiwaza kukutana na msichana mpya yaani naingiwa na uoga na hofu sana kwamba mambo yatakua vile vile tu.

Naombeni msaada wa kudeal na hili tatizo linaninyima raha sana.
Zima taa kula gizani
 
io nikawaida hasa kama umuamini demu,au demu sio type yako au nimkubwa kwako.au mchafu
yangu iko iv

kunakadem ka mwanangu ivi ni ka mwansheria kadg dg tu rika ya 23 hv.kalimtema bwana ake ambae ni mwanangu week chache zilizopita kisa jamaa alikula .manzi flani iv jirani yao yan wanakaa apartment moja.

Ile demu kulipiza kisasi mtego nilikua ni mimi.demu alinichana baada ya kumla. ndo maana alikua anajiletaleta sana.na mm kuona vile ikabidi nianze ku m care kwa jinsi mtoto alivyokua mkali sikua na ujanja.

tena alikua mtoto wa singida mweupe had mbunye.mtoto tako tako titi tit,mbunye mbunye,guu guu,shape shape.demu ni mweupe vizuri kama mzungu ngozi laaini haina hata kovu .cha ajabu kidume kwake nilikua siwezi kusimamisha yani.

Siku moja amenipigia simu saa 6 usiku njoo kwangu naogopa.niwasha chuma chap nikafika.nimeenda kwake kavuaa nguo.mitego mingi yani lakin alikua ani,vutii kabisa pia nilikuaa nasikia sikia kua ni malaya kaliwa na maboss wengi wa ARUSHA . picha linaanza alivuta fegi tano kwa mpigo mbele yangu ikabidi nijikaze kisa mbunye.lakini ndo basi tena nilikua simamishi hadi akanistukia akawa anaiamsha wapiniliogopa sana nikajiuliza mimi ni demi sexual nini,maana mm demu wangu nikiongea nae tu kwenye smu ina simama na pia sijawahi cheat ni miaka 7 sijawah kula mbunye njee maana dem wangu ni liltle angel.nikahisi labda demu wangu kanilogezea labda

wasi wasi wangu nkajua ataenda kunitangaza kwa mashosti wake.ikabidi ni mchane hunivuti ndo maana haisimami.akalalamika sana nakuninunia kua yeye naamanisha sio mzuri ikabidi aanze kuji romantisha sana.hadi anajileta leta magetoni.
juzi
kaja kwangu akapika akajilaza mi nacheza zangu ps badae akawa ana badili nguo tuende mazoezini .nikamsubir atoe zote nikambananisha nikampa romance matata demu nikashnga anajipinda kama nyoka.hi kitu ilinipa comfidence niliona kama nime mtawala ghafla.nikampiga mashine safi sana ikabidi tusiende mazoezin.
Kwanzia sikui io simuogopi tena.saiv had koridoni tunawaka .kwenye garisema na mpango wakumtupilia mbali maana nilichokua nakitaka nimekipata.na uzuri mwanangu ali ridhia kua yule ni mke wetu niwe na jilia maana yeye kam shindwa.

dem anapenda wakaka weusi warefu wenye ndevu mwanangu mweupe mfupi hana ndevu
 
Pitia haya , mpaka unamaliza

Wofu na woga hik kihoro kinaisha.


Hil nijambo lakawaida kwa demu mpya, au usiyemwamin au unayehisi umempta kibahati.


 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom