Okay kuwa na subiraIla inapendeza kumix, hapa una wakiume pale wa kike, sio wote jinsia moja.
Kupitia wewe nimeweza kupata pa kuanzia.
Nashukuru sana.
Aanze kusaidia yeye kwanzaKwahyo shida ni hyo,unataka uzae wa kike ili usaidiwe hapo baadae?
Milalo ipi iyo em nifundishe mim sijui mkuu Pisi KaliUmejaribu kufata kalenda?? Siku za hatari zinavyoenda kuna siku za mtoto wa kike na wa kiume pia kuna milalo ya kupata jinsia utakayo
Duh hongera Ila miezi sita michache Sana huyo mtoto hatokuwa vizuri.Sisi wa kwanza wa kike amefariki, wa pili tumepata wa kiume
Hapa nakaa miezi6 tutafute mapacha
Mpendeni mtoto , hata mm ni machalii ni wa kiume tu, na home kwetu maza alipata mtoto mmoja wa tu wa kike, wengine hawakuweza ku survive, the rest ni wa kiume tu. Mtihani huuAsie kubali kushindwa si mshindani
Asie shukuru huyo ni shetani,
Nachukua fursa hii kumshukuru muungu kwa kumsaidia mkewangu kujifungua salama masaa tisa yaliyo pita, ila kuna duku duku ninalo ndani ya moyo wangu.
Oyah ndugu zangu, usiku wa jana Mungu ameejaalia mkewangu kajifungua salama mtoto, nashukuru sana kwa hilo.
Tatizo watoto tunaozaa ni wajinsia moja tu.
Huwezi amini tumebahatika kapata watoto watatu nawote ni wakiume tu.
Binafsi nina watoto wanne, huyu mmoja ni wapenati, (Nje ya ndoa) ila naye ni wakiume.
Nashindwa kuelewa tatizo langu ni nini?
Kwa mama yangu tumezaliwa watoto 8 wakike ni mmoja tu.
Na huyo dada yangu nae ana watoto watatu wote ni wa kiume tu.
Kiukweli sio mimi tu, mpaka mama yangu hana ham hata kidogo.
Mpaka muda huu sija mpigia simu mama kumtarifu kua mkwewe kazaa, sababu najua hata shtuka, sababu watoto wakiume hana ham nao.
Kwahiyo nime kuja kwenu wakurungwa (Mlio ni zidi umri na maarifa) ni fanyaje ili na mimi nilipe DENI? (nizae mtoto wa kike?)
Jamani watoto wa kiume sisi hatusaidii família, bora wenzetu wakike.
Nisaidieni jamani mwenzenu nimekwama.
Tulipanga na mkewangu baada ya kuzaa mimba hii (angezaliwa wa kike) tupumzike miaka 10 bila kutiana mimba, lakini naona kibarua cha kumtafuta wa kike kinaendelea.
Msaada jamani, huwezi amini mkewangu kajifungua salama lakini sio yeye wala mimi mwenye ham na mtoto.
Msaada jamani natamani kulia peke yangu, duh hata mmoja!
Tumueni kalender huwa Kuna siku ukifanya unapata jikeUngenisaidia njia ya kupata mtoto wa kike ingekua vizuri zaidi, kuliko kuniambia nishukuru tu.
Kupata madume watupu ni baraka ..na kwa maana hiyo ww kama baba si muhuni..congratsAsie kubali kushindwa si mshindani
Asie shukuru huyo ni shetani,
Nachukua fursa hii kumshukuru muungu kwa kumsaidia mkewangu kujifungua salama masaa tisa yaliyo pita, ila kuna duku duku ninalo ndani ya moyo wangu.
Oyah ndugu zangu, usiku wa jana Mungu ameejaalia mkewangu kajifungua salama mtoto, nashukuru sana kwa hilo.
Tatizo watoto tunaozaa ni wajinsia moja tu.
Huwezi amini tumebahatika kapata watoto watatu nawote ni wakiume tu.
Binafsi nina watoto wanne, huyu mmoja ni wapenati, (Nje ya ndoa) ila naye ni wakiume.
Nashindwa kuelewa tatizo langu ni nini?
Kwa mama yangu tumezaliwa watoto 8 wakike ni mmoja tu.
Na huyo dada yangu nae ana watoto watatu wote ni wa kiume tu.
Kiukweli sio mimi tu, mpaka mama yangu hana ham hata kidogo.
Mpaka muda huu sija mpigia simu mama kumtarifu kua mkwewe kazaa, sababu najua hata shtuka, sababu watoto wakiume hana ham nao.
Kwahiyo nime kuja kwenu wakurungwa (Mlio ni zidi umri na maarifa) ni fanyaje ili na mimi nilipe DENI? (nizae mtoto wa kike?)
Jamani watoto wa kiume sisi hatusaidii família, bora wenzetu wakike.
Nisaidieni jamani mwenzenu nimekwama.
Tulipanga na mkewangu baada ya kuzaa mimba hii (angezaliwa wa kike) tupumzike miaka 10 bila kutiana mimba, lakini naona kibarua cha kumtafuta wa kike kinaendelea.
Msaada jamani, huwezi amini mkewangu kajifungua salama lakini sio yeye wala mimi mwenye ham na mtoto.
Msaada jamani natamani kulia peke yangu, duh hata mmoja!
Nasaidia lakini simfikii dada yangu.Aanze kusaidia yeye kwanza
Hahahaaa umeandika kitaalam sana hiiWakati unalia lia tembelea page ya counsillor salaah uone 😅😅😅 hili tatizo sio kwako tu sema jamaa kitachomsaidia ana hela ila vinginevyo kina prince dully sykes wangeweza kumtia simanzi mapema sana😅😅😅