MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,686
- 31,470
Weka picha
Nenda hospitali yoyote ya ya SERIKALI I we ya Mkoa Rufaa au Wilaya Kama upo mbali na hhizo za Rufaa na mkoaHabari zenu wakuu,
Upande wa kushoto Kuanzia juu ya ziwa Kuna wakati napata maumivu yanaenda hadi mgongoni na wakati mwingine hadi mkononi
Na akiwa na hasira ndo yanazidi...
Picha tenaWeka picha
Utani mwingine bhana tuuvumiliePicha tena
Utani mwingine bhana tuuvumilie
Asprin zipi hizo dr alikushauri utumiePole mkuu nilipata tatizo kama lako pia nikafanya vipimo vya moyo sikuwa na tatizo, Dr aliniambia nijitahidi nipunguze stress niliambiwa ni angina nitumie asprin kidonge kimoja daily na zoezi. Niko vizuri
Yes niliexperience hii.. Nikiwa na stress inakuja.. Pia aangalie pia tatizo la gas na acid reflux huwa inachangiaPole mkuu nilipata tatizo kama lako pia nikafanya vipimo vya moyo sikuwa na tatizo, Dr aliniambia nijitahidi nipunguze stress niliambiwa ni angina nitumie asprin kidonge kimoja daily na zoezi. Niko vizuri
AmeenaTatizo lipo kwenye Moyo ni either umetanuka na kupelekea Oxygen kuwa ndogo.
Nenda kafanye vipimo hivi ECO na ECG tatizo lako litaonekana kwa haraka.
Mola akuponye na awaponye wote wanaosumbuliwa na maradhi mbalimbali waliopo Mahospitalini, Majumbani na wale Wanaotembea nayo barabarani.
Ni kweli mkuu nikiwa na hasira na stress ndo vinazidi sanaYes niliexperience hii.. Nikiwa na stress inakuja.. Pia aangalie pia tatizo la gas na acid reflux huwa inachangia
Hiyo Ni high rate of stress. Pole UNATAKIWA UNYWE CHAI FULANI AMBAYO NI STRESS RELEAVERNi kweli mkuu nikiwa na hasira na stress ndo vinazidi sana
Inapatikana wapiHiyo Ni high rate of stress. Pole UNATAKIWA UNYWE CHAI FULANI AMBAYO NI STRESS RELEAVER
Takuelekeza UTENGENEZE. Ukikosa vifaa usisite tuwasilianeInapatikana wapi
SawaaaTakuelekeza UTENGENEZE. Ukikosa vifaa usisite tuwasiliane
Pole mkuu nilipata tatizo kama lako pia nikafanya vipimo vya moyo sikuwa na tatizo, Dr aliniambia nijitahidi nipunguze stress niliambiwa ni angina nitumie asprin kidonge kimoja daily na zoezi. Niko vizuri
Aamyn aamynTatizo lipo kwenye Moyo ni either umetanuka na kupelekea Oxygen kuwa ndogo.
Nenda kafanye vipimo hivi ECO na ECG tatizo lako litaonekana kwa haraka.
Mola akuponye na awaponye wote wanaosumbuliwa na maradhi mbalimbali waliopo Mahospitalini, Majumbani na wale Wanaotembea nayo barabarani.