Miss Worms
New Member
- Jun 5, 2021
- 2
- 0
Habari Wataalamu!
Hedhi yangu huwa inachukua muda wa siku 4 hadi 5 kuisha, lakini kwa sasa imechukua siku 8 na bado inaendelea kutoka. Pia hedhi kwa kawaida huwa inaambatana na tumbo kuuma ila kwa sasa halijauma hata kidogo na hata dalili nyingine za kwamba nipo period sijapata.
Kuna muda inakuwa inatoka kidogo kama inaelekea kuisha na kuna muda inakuwa kama imekata kabisa halafu inaanza tena.
Naomba msaada/ushauri wenu wataalamu.
Hedhi yangu huwa inachukua muda wa siku 4 hadi 5 kuisha, lakini kwa sasa imechukua siku 8 na bado inaendelea kutoka. Pia hedhi kwa kawaida huwa inaambatana na tumbo kuuma ila kwa sasa halijauma hata kidogo na hata dalili nyingine za kwamba nipo period sijapata.
Kuna muda inakuwa inatoka kidogo kama inaelekea kuisha na kuna muda inakuwa kama imekata kabisa halafu inaanza tena.
Naomba msaada/ushauri wenu wataalamu.