mnyalukoloh
Member
- Jun 8, 2015
- 74
- 28
Habari wana jamii interejensi.
Nina hali inanisumbua...kwenye familia yetu tumezaliwa wanne wanaume wawili...kuna ndoto huwa zinajiludia huwa naota nagombana na huyu mdogowangu wa kiume na malanyingi huwa nakuwa mshindi na baada ya kuamka siku hiyo huwa amani kat yangu na mama yetu au mwanafamilia yoyote huwa haiwepo kabisa.
wataalam wa ndoto naomba mnisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina hali inanisumbua...kwenye familia yetu tumezaliwa wanne wanaume wawili...kuna ndoto huwa zinajiludia huwa naota nagombana na huyu mdogowangu wa kiume na malanyingi huwa nakuwa mshindi na baada ya kuamka siku hiyo huwa amani kat yangu na mama yetu au mwanafamilia yoyote huwa haiwepo kabisa.
wataalam wa ndoto naomba mnisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app