Umuzukuru
JF-Expert Member
- May 30, 2019
- 609
- 540
Habari wakuu,
Naomba msaada ili niweze kupata nafasi ya kuonyesha uwezo na kipaji changu cha kuimba ili kutengeneza nafasi ya kuweza kurekodi wimbo.
Pia connection na wadau wa muziki nahitaji msaada wakuu maana uchumi bado ni kikwazo Jambo linalofanya kushindwa kufanya chochote chenye kueleweka katika safari hii ya maisha ya muziki.
Nb: Aina ya muziki ninaoimba ni Bongo Fleva, RnB na aina nyinginezo nazimudu kwa kiasi fulani.
Natanguliza shukrani za dhati.
Naomba msaada ili niweze kupata nafasi ya kuonyesha uwezo na kipaji changu cha kuimba ili kutengeneza nafasi ya kuweza kurekodi wimbo.
Pia connection na wadau wa muziki nahitaji msaada wakuu maana uchumi bado ni kikwazo Jambo linalofanya kushindwa kufanya chochote chenye kueleweka katika safari hii ya maisha ya muziki.
Nb: Aina ya muziki ninaoimba ni Bongo Fleva, RnB na aina nyinginezo nazimudu kwa kiasi fulani.
Natanguliza shukrani za dhati.