Mngurimi
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 819
- 789
Ndugu, habari za wakati huu.
Bila kupoteza muda ningependa kuomba msaada kwa yeyote mwenye uelewa juu ya zile mashine ambazo zinatumiwa kwa ajili ya kubeti mfano, premier bet, pm bet n.k
Naomba kujua cost ya kuwa wakala au kununua.
Pia naomba kujua commission yake kwa mwezi, namna ya uendeshaji na faida au hasara zake.
Naomba kuwasilisha.....
Bila kupoteza muda ningependa kuomba msaada kwa yeyote mwenye uelewa juu ya zile mashine ambazo zinatumiwa kwa ajili ya kubeti mfano, premier bet, pm bet n.k
Naomba kujua cost ya kuwa wakala au kununua.
Pia naomba kujua commission yake kwa mwezi, namna ya uendeshaji na faida au hasara zake.
Naomba kuwasilisha.....