MKUU , JICHANGANYE KITAA , UPIGE DAY WORKER JOBS KATIKA SITE ZA UJENZI , LABDA UTAPATA MKUU , PIA MAISHA HAYA YA SASA DAH WA KUMUAMINI NI WEWE TU ' MAANA UNATAFUTA MAISHA .Habari ya siku wanajamii,
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, katika moja ya Vyuo vya Serikali mkoani Morogoro. Nahitaji mkopo wa haraka kiasi cha laki mbili (Tshs 200,000) ili kuweza kufanikisha baadhi ya mahitaji yangu binafsi kwa kipindi hiki cha mwanzo wa masomo. Naahidi kuirejesha pesa pindi tu nitakapopata pesa yangu ya mkopo kwa ajili ya chakula na malazi kutoka Bodi ya Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
Nitashukuru sana kwa ambaye ataniamini na kunipatia mkopo.
Tusaidiane waungwana.
Pole sana mdogo wangu hiyo changamoto itaisha tu..nimejikuta nahuzunika sana kwa comment yako naomba tuwasiliane inboxDaaah hatari mm sina hata mia, nipo class now nawaza tu na njaa inaniuma kweli