Msaada: Naomba mitihani iliyopita, ushauri na uzoefu kuhusu IELTS, TOEFL

Ivindo

Senior Member
Feb 11, 2016
168
239
Wakuu salama?

Katika kuhangaika hapa na pale nimekutana na kikwazo cha kuwa na matokeo ya IELTS au TOEFL.

Sijawahi kuona pepa za mitihani ya aina hiyo hata siku moja, nimeangalia yutyubu lakini sijafanikiwa kwa sana. Ikiwa kuna mtu yeyote ambae ameshafanya kati ya hizo pepa anisaidie hata ushauri tuu utakua umenisaidia sana.

Je ni maswali gani yanayoulizwa? kwa kingereza chetu cha Bongo naweza kupata overall ya 6.5 kweli? kwenye oral inakuaje? na listening je? natakiwa kuwa nasikiliza BBC au cnn some days before sijaattend mtihani?

Asante sana kwa kusoma naomba nisaidie mtanzania mwenzako, asante

IVINDO
 
Jipange sana ila usiogope ndio chanzo cha kufeli, ingia youtube kuna kila kitu au nenda gugo andika aehelp naogopa kuweka link nitapigwa ban
 
Unataka kwenda UK nini mkuu? ndio score bands zao hizo with not less than 6.5 in each part

Hapana nataka kwenda Australia mkuu, ni ndoto yangu, ila wanataka 7 min na nikipata 8/9 napata double points. Siendo kusoma, kusoma ‘nilishamaliza’
 
Hivi kwa nn wabongo hua vitu kama hivi tunaona sio vya muhimu? Niko kwenye group moja ya IELTS TRICKS & tips yani waasia ndio wengi, waafrika tuko wa3 au 4
 
Hapana nataka kwenda Australia mkuu, ni ndoto yangu, ila wanataka 7 min na nikipata 8/9 napata double points. Siendo kusoma, kusoma ‘nilishamaliza’

Ungesema mapema usinge hangaika kupiga IELTS kama ulikua huendi kusoma, ungeenda pale British Councl ukapiga kozi za kizungu (internationally) then wanakupa cheti kinachotambulika kimataifa
 
Hivi kwa nn wabongo hua vitu kama hivi tunaona sio vya muhimu? Niko kwenye group moja ya IELTS TRICKS & tips yani waasia ndio wengi, waafrika tuko wa3 au 4

Wengi wanafanya sema kimya kimya sema wengi wamekua na kizungu ko hawahitaji msaada, ile pepa wanapima lugha sio akili
 
Ungesema mapema usinge hangaika kupiga IELTS kama ulikua huendi kusoma, ungeenda pale British Councl ukapiga kozi za kizungu (internationally) then wanakupa cheti kinachotambulika kimataifa

Kinaitwaje hicho cheti mkuu? Maana kwenye visa nnayoomba wameweka orodha ya vyeti na marks zake.
 
Wakuu salama?
Katika kuhangaika hapa na pale nimekutana na kikwazo cha kua na matokeo ya IELTS au TOEFL. Sijawahi kuona pepa za mitihani ya aina hiyo hata siku moja, nimeangalia yutyubu lakini sijafanikiwa kwa sana. Ikiwa kuna mtu yeyote ambae ameshafanya kati ya hizo pepa anisaidie hata ushauri tuu utakua umenisaidia sana. Je ni maswali gani yanayoulizwa? kwa kingereza chetu cha Bongo naweza kupata overall ya 6.5 kweli? kwenye oral inakuaje? na listening je? natakiwa kuwa nasikiliza BBC au cnn some days before sijaattend mtihani?

Asante sana kwa kusoma naomba nisaidie mtanzania mwenzako, asante

IVINDO
I got 7 overall bands vitu viwili vitakusaidia kutusua ni reading and listening parts hizo niligonga 8 and 7.5 other nilipata 6.5 . Reading you should be very fast n develop the techniques za kusoma na kujibu i don't know how u will manage that but those sections unatakiwa utusue n English is simple Sana.
 
I got 7 overall bands vitu viwili vitakusaidia kutusua ni reading and listening parts hizo niligonga 8 and 7.5 other nilipata 6.5 . Reading you should be very fast n develop the techniques za kusoma na kujibu i don't know how u will manage that but those sections unatakiwa utusue n English is simple Sana.

mkuu inabidi nikufate unisaidie, uko njema asee
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom