Msaada: Naomba kuunganishwa na Posta Dar ili kupokea mzigo via AliExpress

LaRosa

JF-Expert Member
Jul 3, 2020
952
2,875
Salaam wakuu!

Nina zaidi ya wiki 5 sijapata mzigo wangu toka AliExpress na kwa Sasa sioni tena any added information and updates za maendeleo ya mzigo wangu toka tracking app.

Na siwezi kufika Dar kuulizia pale posta sababu naishi Zanzibar kwa sasa. Hivyo dhumuni la Uzi huu ni kuomba Kama Kuna mtu ana mawasiliano na afisa au staff and yeyote wa posta anisaidie namba zake ili nifanye kuulizia hata kwa simu.

Nitafurahi Kama nitapata msaada coz naamini jf ni pana na ina kila kitu.

Manguli na manyalali tafadhalini cc Chief-Mkwawa Mwl.RCT
 
Znz posta ipo? nafikiri system ni moja, ukimpa mhudumu huko tracking namba ataiconvert kuja tracking no ya ndani kisha atakuambia exactly uko wapi. Hapa na assume umeshafika nchini.

Kama haujafika even wao hawatakusaidia.
 
Hata mimi nimeagiza mzigo aliexpress kwa njia ya posta japo ni miezi miwili sasa na haiwezekani ku track...bila shaka mzigo ulioagiza ni Free shipping mara nyingi Tracking inakuwa Unavailable.

Unaweza kushangaa posta wanakupigia simu uje uchukue mzigo lakini ukiangalia kwenye Delivery information unaona mzigo bado uko Airport...huko ulikonunulia...na status bar haisogei.

Na hakikisha unamuuliza Muuzaji akupe Delivery information kwa maana ni rahisi kwake yeye kuwasiliana na Logistic company na akapata maelezo.
 
Znz posta ipo? nafikiri system ni moja, ukimpa mhudumu huko tracking namba ataiconvert kuja tracking no ya ndani kisha atakuambia exactly uko wapi. Hapa na assume umeshafika nchini.

Kama haujafika even wao hawatakusaidia.
Niko kijijini saana hata huku znz.

Zimepita siku Sasa na last time ilionyesha hivi.
Na Kuna mwingine niliagiza nyuma ya huu lakini wenyewe ndio hauna updates for weeks now.

Kwani SI inabidi wa scan barcode ili app iupdates information? Au wanatanya uzembe Africa tu. Maana since umefika nchini ndio ikawa mwisho wa kupata update.

Nataka kuattach screenshot ila inagoma.
 
Hata mimi nimeagiza mzigo aliexpress kwa njia ya posta japo ni miezi miwili sasa na haiwezekani ku track...bila shaka mzigo ulioagiza ni Free shipping mara nyingi Tracking inakuwa Unavailable...
Haikuwa free shipping nimelipa zaidi ya dola 10 kwa only Shipping ya standard.

Nilikuwa naweza kuuutrack lakini ulipofika tu Bongo tu tracking ikagoma nahisi labda Bongo wamekuwa wavivu hawaja Scan ili information ziwe added kwenye app ya tracking.
 
Niko kijijini saana hata huku znz.

Zimepita siku Sasa na last time ilionyesha hivi...
Nimepitia uzi wako mwengine mzigo umeingia july 14, kuwa na subira kidogo hii sikukuu iishe, huwa inachukua siku kadhaa ku process mzigo ukifika Tanzania.

Kuhusu ku Update Aliexpress haiwahusu maana wameshaukabidhi mamlaka husika hapa TZ
 
nimepitia uzi wako mwengine mzigo umeingia july 14, kuwa na subira kidogo hii sikukuu iishe, huwa inachukua siku kadhaa ku process mzigo ukifika Tanzania.

kuhusu ku Update Aliexpress haiwahusu maana wameshaukabidhi mamlaka husika hapa TZ
Ohoo! Kaa hiyo kwa wastani inaweza kuchukua wiki kadhaa tena?
Maana mzigo Ni urgent saana.
 
Kama utatoka dar kwenda znz ongeza siku kadhaa.
Ndio maana nataka nitafute mawasiliano ya staff wa Dar akicheck na kuona Kama parcel iko Dar. Naifuata mwenyewe fasta tu.

Ngoja niendelee kufatuta mawasiliano na staff wa Dar kwanza. Then I'll decide.
 
Ndio maana nataka nitafute mawasiliano ya staff wa Dar akicheck na kuona Kama parcel iko Dar. Naifuata mwenyewe fasta tu.

Ngoja niendelee kufatuta mawasiliano na staff wa Dar kwanza. Then I'll decide.
hivi shipping adress unatumia postal adress hii hii ya kawaida?
 
Haikuwa free shipping nimelipa zaidi ya dola 10 kwa only Shipping ya standard.

Nilikuwa naweza kuuutrack lakini ulipofika tu Bongo tu tracking ikagoma nahisi labda Bongo wamekuwa wavivu hawaja Scan ili information ziwe added kwenye app ya tracking.
Jaribu kwenda moja kwa moja kwenye website ya Posta na ujaribu kutrack kupitia posta uone itakuwaje....
Nikuulize,,, ni muda gani umepita tangu mzigo uingie TZ?
 
Jaribu kwenda moja kwa moja kwenye website ya Posta na ujaribu kutrack kupitia posta uone itakuwaje....
Nikuulize,,, ni muda gani umepita tangu mzigo uingie TZ?
Tangu tarehe 14 July mzigo umeingia nchini.
 
Back
Top Bottom