Mr.genius
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,369
- 1,169
Salama wakuu?
Naomba moja kwa moja niende kwenye mada.
Kwanza kabisa naomba ku-declare interest kua mimi ni msikilizaji mkubwa sana wa radio na kwa namna moja au nyingine imenifanya kuwa mdadisi kidogo kuhusu matangazo yanayotangazwa kwenye radio. I mean yale matangazo wenyewe wanayoyaita ya wadhamini, ya makampuni mbalimbali na hata ya kwenye TV.
Kwenye kutafiti tafiti kwangu nikagundua kuna kitu kinaitwa "advertising agency" ambao nasikia ndo wana-deal na matangazo ingawaje sijajua hasa wanafanyaje biashara zao ili na mimi nipate pa kuanzia.
> Wanapataje tenda za kuandaa matangazo hayo?
> Kuna wasanii nawaona wanashiriki kwa maana ya kuwemo kwenye hayo matangazo. How do they organise such things?
> Ni lazima kuwa na studio ili uweze kufanya hizi kazi?
Nawakaribisha wenye uelewa kunielewesha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba moja kwa moja niende kwenye mada.
Kwanza kabisa naomba ku-declare interest kua mimi ni msikilizaji mkubwa sana wa radio na kwa namna moja au nyingine imenifanya kuwa mdadisi kidogo kuhusu matangazo yanayotangazwa kwenye radio. I mean yale matangazo wenyewe wanayoyaita ya wadhamini, ya makampuni mbalimbali na hata ya kwenye TV.
Kwenye kutafiti tafiti kwangu nikagundua kuna kitu kinaitwa "advertising agency" ambao nasikia ndo wana-deal na matangazo ingawaje sijajua hasa wanafanyaje biashara zao ili na mimi nipate pa kuanzia.
> Wanapataje tenda za kuandaa matangazo hayo?
> Kuna wasanii nawaona wanashiriki kwa maana ya kuwemo kwenye hayo matangazo. How do they organise such things?
> Ni lazima kuwa na studio ili uweze kufanya hizi kazi?
Nawakaribisha wenye uelewa kunielewesha!
Sent using Jamii Forums mobile app