Msaada: Naomba kujuzwa jinsi ya kupata uraia kwa msichana anayetoka nje ya nchi ili kuolewa na kuishi Tanzania

Vijana wa Lagos wako kazini.
Mkuu unakaribia kuliwa kichwa na Yahoo boyz! Utaleta mrejesho hapa hivi karibuni.
Mie mwenzio hadi video calls zilihusika nikajua nimepata mpenzi wa kidachi kumbe laaah nachazeshwa na akina Yahoo boyz toka mitaa ya Lagos!! Nilikuja kuokolewa na ki anko changu na zile pesa nikaona bora nikanunue shamba.
Ilikuaje aisee hapo kwenye video call ndo sijaelewa kwamba unamuona kabisa mdada wa kidachi au
 
Mkuu Hongera kwa kuopoa kifaa. Vema pia kwa mrembo wako kuchagua kuja kuishi Tanzania. Inahitaji moyo ujue.

Cha kufanya, mlete aje Tanzania. Funga naye ndoa halali inayotambulika kisheria. Kisha ndiyo muanze mchakato wa kumpatia uraia.

Kwanza, tambua kuwa nchi yetu bado haijaruhusu uraia pacha. Hivyo itambidi aukane uraia wa nchi yake ya Australia.

Mtaenda kwenye ofisi za Idara ya Uhamiaji katika mahali ulipo. Iwe wilayani, mkoani au Makao Makuu pale Kurasini.

Mtapewa fomu maalum ya kujaza. Mtajaza kwa umakini na kuirudisha. Mtaambatanisha vithibitisho kadhaa ikiwa ni pamoja na;

A) Kithibitisho cha Uraia wa mume
B) Cheti cha ndoa
C) Passport size za hivi karibuni
D) Kibali cha kuwepo hapa nchini
E) Makorokocho mengine

Mtajaza hiyo fomu na kuiambatanisha na kiasi cha Dola 1500 (USD). Kama imebadilika mtaambiwa.

Mkishajaza muhusika atatoa Tangazo mara mbili kwenye Gazeti la Serikali juu ya nia yake ya kuomba Uraia wa Tanzania.

Baada ya hapo ombi litapelekwa kwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji. Kama hakutakuwa na mapingamizi Baadae nae atapeleka kwa Waziri husika kwa kuhalalishwa uraia wenyewe.

Kila la kheri Mkuu.
Mtaalamu umemaliza vyote
 
Muoe tu lakini usithubutu kufanya kosa la yeye kuukana uraia wake eti achukue Utanzania. Nadhani anaweza kupata visa ya miaka mpaka mitano na kuiongeza muda kila inapokaribia kuexpire lakini Utanzania acheze nao mbali.
😆😆😆😆😆
 
Kwa nini wewe usiende ishi Australia?
Msimfanye jamaa zwazwa, ni sawa na kuoa halafu ukaenda kuishi ukweni.....ambao hawajakanyaga majuu wanakuwaga sana na wenge la kuzamia kutokana na mapicha picha wanayoona kwenye TV. Mwanaume ukiishi kwenye nchi yako unakuwa huru sana na unajiamini...
 
Mkuu Hongera kwa kuopoa kifaa. Vema pia kwa mrembo wako kuchagua kuja kuishi Tanzania. Inahitaji moyo ujue.

Cha kufanya, mlete aje Tanzania. Funga naye ndoa halali inayotambulika kisheria. Kisha ndiyo muanze mchakato wa kumpatia uraia.

Kwanza, tambua kuwa nchi yetu bado haijaruhusu uraia pacha. Hivyo itambidi aukane uraia wa nchi yake ya Australia.

Mtaenda kwenye ofisi za Idara ya Uhamiaji katika mahali ulipo. Iwe wilayani, mkoani au Makao Makuu pale Kurasini.

Mtapewa fomu maalum ya kujaza. Mtajaza kwa umakini na kuirudisha. Mtaambatanisha vithibitisho kadhaa ikiwa ni pamoja na;

A) Kithibitisho cha Uraia wa mume
B) Cheti cha ndoa
C) Passport size za hivi karibuni
D) Kibali cha kuwepo hapa nchini
E) Makorokocho mengine

Mtajaza hiyo fomu na kuiambatanisha na kiasi cha Dola 1500 (USD). Kama imebadilika mtaambiwa.

Mkishajaza muhusika atatoa Tangazo mara mbili kwenye Gazeti la Serikali juu ya nia yake ya kuomba Uraia wa Tanzania.

Baada ya hapo ombi litapelekwa kwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji. Kama hakutakuwa na mapingamizi Baadae nae atapeleka kwa Waziri husika kwa kuhalalishwa uraia wenyewe.

Kila la kheri Mkuu.

Hongera zote hizo unaweza kuta anayetaka kumchukulia uraia bibi mstaafu Australia.
😀😀
 
Vijana wa Lagos wako kazini.
Mkuu unakaribia kuliwa kichwa na Yahoo boyz! Utaleta mrejesho hapa hivi karibuni.
Mie mwenzio hadi video calls zilihusika nikajua nimepata mpenzi wa kidachi kumbe laaah nachazeshwa na akina Yahoo boyz toka mitaa ya Lagos!! Nilikuja kuokolewa na ki anko changu na zile pesa nikaona bora nikanunue shamba.

Anaingia cha kike waaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
 
Huyu atakuwa akichat na vijana wa Nigeria. Okay, kuwa makini hasa ukiletewa ishu za kutuma pesa kwa Western Union au Money Gram, hapo ujue ni "Red Flag", kaa mbali.

Kuna wengine wana similar cases za madem wa Kifilipino.
 
Mkuu Hongera kwa kuopoa kifaa. Vema pia kwa mrembo wako kuchagua kuja kuishi Tanzania. Inahitaji moyo ujue.

Cha kufanya, mlete aje Tanzania. Funga naye ndoa halali inayotambulika kisheria. Kisha ndiyo muanze mchakato wa kumpatia uraia.

Kwanza, tambua kuwa nchi yetu bado haijaruhusu uraia pacha. Hivyo itambidi aukane uraia wa nchi yake ya Australia.

Mtaenda kwenye ofisi za Idara ya Uhamiaji katika mahali ulipo. Iwe wilayani, mkoani au Makao Makuu pale Kurasini.

Mtapewa fomu maalum ya kujaza. Mtajaza kwa umakini na kuirudisha. Mtaambatanisha vithibitisho kadhaa ikiwa ni pamoja na;

A) Kithibitisho cha Uraia wa mume
B) Cheti cha ndoa
C) Passport size za hivi karibuni
D) Kibali cha kuwepo hapa nchini
E) Makorokocho mengine

Mtajaza hiyo fomu na kuiambatanisha na kiasi cha Dola 1500 (USD). Kama imebadilika mtaambiwa.

Mkishajaza muhusika atatoa Tangazo mara mbili kwenye Gazeti la Serikali juu ya nia yake ya kuomba Uraia wa Tanzania.

Baada ya hapo ombi litapelekwa kwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji. Kama hakutakuwa na mapingamizi Baadae nae atapeleka kwa Waziri husika kwa kuhalalishwa uraia wenyewe.

Kila la kheri Mkuu.
Jamaa badala ya kwenda Aussie kaamua kumleta Mzungu apate shida za Bongo
 
Kama kuna uwezekano wa kubadilishana uraia nimpe wangu, anipe wake sina criminal record huu wa kibongo sina matumizi nao
 
Mkuu Hongera kwa kuopoa kifaa. Vema pia kwa mrembo wako kuchagua kuja kuishi Tanzania. Inahitaji moyo ujue.

Cha kufanya, mlete aje Tanzania. Funga naye ndoa halali inayotambulika kisheria. Kisha ndiyo muanze mchakato wa kumpatia uraia.

Kwanza, tambua kuwa nchi yetu bado haijaruhusu uraia pacha. Hivyo itambidi aukane uraia wa nchi yake ya Australia.

Mtaenda kwenye ofisi za Idara ya Uhamiaji katika mahali ulipo. Iwe wilayani, mkoani au Makao Makuu pale Kurasini.

Mtapewa fomu maalum ya kujaza. Mtajaza kwa umakini na kuirudisha. Mtaambatanisha vithibitisho kadhaa ikiwa ni pamoja na;

A) Kithibitisho cha Uraia wa mume
B) Cheti cha ndoa
C) Passport size za hivi karibuni
D) Kibali cha kuwepo hapa nchini
E) Makorokocho mengine

Mtajaza hiyo fomu na kuiambatanisha na kiasi cha Dola 1500 (USD). Kama imebadilika mtaambiwa.

Mkishajaza muhusika atatoa Tangazo mara mbili kwenye Gazeti la Serikali juu ya nia yake ya kuomba Uraia wa Tanzania.

Baada ya hapo ombi litapelekwa kwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji. Kama hakutakuwa na mapingamizi Baadae nae atapeleka kwa Waziri husika kwa kuhalalishwa uraia wenyewe.

Kila la kheriMwanamke mgeni aliyeolewa ma mtanzania anaruhusiwa ku-baki uraia wake. Ila mwanaume mgeni aliyeoa mtanzania.ndiye aruhusiwi kubaki na uraia wa nchi yake.

Mkuu Hongera kwa kuopoa kifaa. Vema pia kwa mrembo wako kuchagua kuja kuishi Tanzania. Inahitaji moyo ujue.

Cha kufanya, mlete aje Tanzania. Funga naye ndoa halali inayotambulika kisheria. Kisha ndiyo muanze mchakato wa kumpatia uraia.

Kwanza, tambua kuwa nchi yetu bado haijaruhusu uraia pacha. Hivyo itambidi aukane uraia wa nchi yake ya Australia.

Mtaenda kwenye ofisi za Idara ya Uhamiaji katika mahali ulipo. Iwe wilayani, mkoani au Makao Makuu pale Kurasini.

Mtapewa fomu maalum ya kujaza. Mtajaza kwa umakini na kuirudisha. Mtaambatanisha vithibitisho kadhaa ikiwa ni pamoja na;

A) Kithibitisho cha Uraia wa mume
B) Cheti cha ndoa
C) Passport size za hivi karibuni
D) Kibali cha kuwepo hapa nchini
E) Makorokocho mengine

Mtajaza hiyo fomu na kuiambatanisha na kiasi cha Dola 1500 (USD). Kama imebadilika mtaambiwa.

Mkishajaza muhusika atatoa Tangazo mara mbili kwenye Gazeti la Serikali juu ya nia yake ya kuomba Uraia wa Tanzania.

Baada ya hapo ombi litapelekwa kwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji. Kama hakutakuwa na mapingamizi Baadae nae atapeleka kwa Waziri husika kwa kuhalalishwa uraia wenyewe.

Kila la kheri Mkuu.
Mwanamke mgeni aliyeolewa na mtanzania anaruhusiwa ku-baki na uraia wake. Ila mwanaume mgeni aliyeoa mtanzania ndiye aruhusiwi kubaki na uraia wa nchi yake.
 
Asee wewe jamaa haupo siriyaz na maisha ..unapenda kuishi Tanzania? Umeopoa mlami badala usepe unang'ang'ania kubaki huku..uyo mlami lazima akukimbie tu

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom