Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,236
- 9,841
Ikiwa huo mguu ni wako basi umebarikiwa sanaCorona ikiisha lazima arudi. Hao hawawezagi ishi huku miaka mingi. Baadae atataka mwende mkaishi kwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa huo mguu ni wako basi umebarikiwa sanaCorona ikiisha lazima arudi. Hao hawawezagi ishi huku miaka mingi. Baadae atataka mwende mkaishi kwao.
Ilikuaje aisee hapo kwenye video call ndo sijaelewa kwamba unamuona kabisa mdada wa kidachi auVijana wa Lagos wako kazini.
Mkuu unakaribia kuliwa kichwa na Yahoo boyz! Utaleta mrejesho hapa hivi karibuni.
Mie mwenzio hadi video calls zilihusika nikajua nimepata mpenzi wa kidachi kumbe laaah nachazeshwa na akina Yahoo boyz toka mitaa ya Lagos!! Nilikuja kuokolewa na ki anko changu na zile pesa nikaona bora nikanunue shamba.
Mtaalamu umemaliza vyoteMkuu Hongera kwa kuopoa kifaa. Vema pia kwa mrembo wako kuchagua kuja kuishi Tanzania. Inahitaji moyo ujue.
Cha kufanya, mlete aje Tanzania. Funga naye ndoa halali inayotambulika kisheria. Kisha ndiyo muanze mchakato wa kumpatia uraia.
Kwanza, tambua kuwa nchi yetu bado haijaruhusu uraia pacha. Hivyo itambidi aukane uraia wa nchi yake ya Australia.
Mtaenda kwenye ofisi za Idara ya Uhamiaji katika mahali ulipo. Iwe wilayani, mkoani au Makao Makuu pale Kurasini.
Mtapewa fomu maalum ya kujaza. Mtajaza kwa umakini na kuirudisha. Mtaambatanisha vithibitisho kadhaa ikiwa ni pamoja na;
A) Kithibitisho cha Uraia wa mume
B) Cheti cha ndoa
C) Passport size za hivi karibuni
D) Kibali cha kuwepo hapa nchini
E) Makorokocho mengine
Mtajaza hiyo fomu na kuiambatanisha na kiasi cha Dola 1500 (USD). Kama imebadilika mtaambiwa.
Mkishajaza muhusika atatoa Tangazo mara mbili kwenye Gazeti la Serikali juu ya nia yake ya kuomba Uraia wa Tanzania.
Baada ya hapo ombi litapelekwa kwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji. Kama hakutakuwa na mapingamizi Baadae nae atapeleka kwa Waziri husika kwa kuhalalishwa uraia wenyewe.
Kila la kheri Mkuu.
😆😆😆😆😆Muoe tu lakini usithubutu kufanya kosa la yeye kuukana uraia wake eti achukue Utanzania. Nadhani anaweza kupata visa ya miaka mpaka mitano na kuiongeza muda kila inapokaribia kuexpire lakini Utanzania acheze nao mbali.
Msimfanye jamaa zwazwa, ni sawa na kuoa halafu ukaenda kuishi ukweni.....ambao hawajakanyaga majuu wanakuwaga sana na wenge la kuzamia kutokana na mapicha picha wanayoona kwenye TV. Mwanaume ukiishi kwenye nchi yako unakuwa huru sana na unajiamini...Kwa nini wewe usiende ishi Australia?
Unamuona kabisa aisee kumbe ni mambo ya wanaijeria!! Unajua huyu mzungu keshaingia line kumbe nae ni mmoja ya watu walio kwenye mpango mzima wa Yahoo boyz.Ilikuaje aisee hapo kwenye video call ndo sijaelewa kwamba unamuona kabisa mdada wa kidachi au
Mkuu Hongera kwa kuopoa kifaa. Vema pia kwa mrembo wako kuchagua kuja kuishi Tanzania. Inahitaji moyo ujue.
Cha kufanya, mlete aje Tanzania. Funga naye ndoa halali inayotambulika kisheria. Kisha ndiyo muanze mchakato wa kumpatia uraia.
Kwanza, tambua kuwa nchi yetu bado haijaruhusu uraia pacha. Hivyo itambidi aukane uraia wa nchi yake ya Australia.
Mtaenda kwenye ofisi za Idara ya Uhamiaji katika mahali ulipo. Iwe wilayani, mkoani au Makao Makuu pale Kurasini.
Mtapewa fomu maalum ya kujaza. Mtajaza kwa umakini na kuirudisha. Mtaambatanisha vithibitisho kadhaa ikiwa ni pamoja na;
A) Kithibitisho cha Uraia wa mume
B) Cheti cha ndoa
C) Passport size za hivi karibuni
D) Kibali cha kuwepo hapa nchini
E) Makorokocho mengine
Mtajaza hiyo fomu na kuiambatanisha na kiasi cha Dola 1500 (USD). Kama imebadilika mtaambiwa.
Mkishajaza muhusika atatoa Tangazo mara mbili kwenye Gazeti la Serikali juu ya nia yake ya kuomba Uraia wa Tanzania.
Baada ya hapo ombi litapelekwa kwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji. Kama hakutakuwa na mapingamizi Baadae nae atapeleka kwa Waziri husika kwa kuhalalishwa uraia wenyewe.
Kila la kheri Mkuu.
Vijana wa Lagos wako kazini.
Mkuu unakaribia kuliwa kichwa na Yahoo boyz! Utaleta mrejesho hapa hivi karibuni.
Mie mwenzio hadi video calls zilihusika nikajua nimepata mpenzi wa kidachi kumbe laaah nachazeshwa na akina Yahoo boyz toka mitaa ya Lagos!! Nilikuja kuokolewa na ki anko changu na zile pesa nikaona bora nikanunue shamba.
Jamaa badala ya kwenda Aussie kaamua kumleta Mzungu apate shida za BongoMkuu Hongera kwa kuopoa kifaa. Vema pia kwa mrembo wako kuchagua kuja kuishi Tanzania. Inahitaji moyo ujue.
Cha kufanya, mlete aje Tanzania. Funga naye ndoa halali inayotambulika kisheria. Kisha ndiyo muanze mchakato wa kumpatia uraia.
Kwanza, tambua kuwa nchi yetu bado haijaruhusu uraia pacha. Hivyo itambidi aukane uraia wa nchi yake ya Australia.
Mtaenda kwenye ofisi za Idara ya Uhamiaji katika mahali ulipo. Iwe wilayani, mkoani au Makao Makuu pale Kurasini.
Mtapewa fomu maalum ya kujaza. Mtajaza kwa umakini na kuirudisha. Mtaambatanisha vithibitisho kadhaa ikiwa ni pamoja na;
A) Kithibitisho cha Uraia wa mume
B) Cheti cha ndoa
C) Passport size za hivi karibuni
D) Kibali cha kuwepo hapa nchini
E) Makorokocho mengine
Mtajaza hiyo fomu na kuiambatanisha na kiasi cha Dola 1500 (USD). Kama imebadilika mtaambiwa.
Mkishajaza muhusika atatoa Tangazo mara mbili kwenye Gazeti la Serikali juu ya nia yake ya kuomba Uraia wa Tanzania.
Baada ya hapo ombi litapelekwa kwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji. Kama hakutakuwa na mapingamizi Baadae nae atapeleka kwa Waziri husika kwa kuhalalishwa uraia wenyewe.
Kila la kheri Mkuu.
Mkuu Hongera kwa kuopoa kifaa. Vema pia kwa mrembo wako kuchagua kuja kuishi Tanzania. Inahitaji moyo ujue.
Cha kufanya, mlete aje Tanzania. Funga naye ndoa halali inayotambulika kisheria. Kisha ndiyo muanze mchakato wa kumpatia uraia.
Kwanza, tambua kuwa nchi yetu bado haijaruhusu uraia pacha. Hivyo itambidi aukane uraia wa nchi yake ya Australia.
Mtaenda kwenye ofisi za Idara ya Uhamiaji katika mahali ulipo. Iwe wilayani, mkoani au Makao Makuu pale Kurasini.
Mtapewa fomu maalum ya kujaza. Mtajaza kwa umakini na kuirudisha. Mtaambatanisha vithibitisho kadhaa ikiwa ni pamoja na;
A) Kithibitisho cha Uraia wa mume
B) Cheti cha ndoa
C) Passport size za hivi karibuni
D) Kibali cha kuwepo hapa nchini
E) Makorokocho mengine
Mtajaza hiyo fomu na kuiambatanisha na kiasi cha Dola 1500 (USD). Kama imebadilika mtaambiwa.
Mkishajaza muhusika atatoa Tangazo mara mbili kwenye Gazeti la Serikali juu ya nia yake ya kuomba Uraia wa Tanzania.
Baada ya hapo ombi litapelekwa kwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji. Kama hakutakuwa na mapingamizi Baadae nae atapeleka kwa Waziri husika kwa kuhalalishwa uraia wenyewe.
Kila la kheriMwanamke mgeni aliyeolewa ma mtanzania anaruhusiwa ku-baki uraia wake. Ila mwanaume mgeni aliyeoa mtanzania.ndiye aruhusiwi kubaki na uraia wa nchi yake.
Mwanamke mgeni aliyeolewa na mtanzania anaruhusiwa ku-baki na uraia wake. Ila mwanaume mgeni aliyeoa mtanzania ndiye aruhusiwi kubaki na uraia wa nchi yake.Mkuu Hongera kwa kuopoa kifaa. Vema pia kwa mrembo wako kuchagua kuja kuishi Tanzania. Inahitaji moyo ujue.
Cha kufanya, mlete aje Tanzania. Funga naye ndoa halali inayotambulika kisheria. Kisha ndiyo muanze mchakato wa kumpatia uraia.
Kwanza, tambua kuwa nchi yetu bado haijaruhusu uraia pacha. Hivyo itambidi aukane uraia wa nchi yake ya Australia.
Mtaenda kwenye ofisi za Idara ya Uhamiaji katika mahali ulipo. Iwe wilayani, mkoani au Makao Makuu pale Kurasini.
Mtapewa fomu maalum ya kujaza. Mtajaza kwa umakini na kuirudisha. Mtaambatanisha vithibitisho kadhaa ikiwa ni pamoja na;
A) Kithibitisho cha Uraia wa mume
B) Cheti cha ndoa
C) Passport size za hivi karibuni
D) Kibali cha kuwepo hapa nchini
E) Makorokocho mengine
Mtajaza hiyo fomu na kuiambatanisha na kiasi cha Dola 1500 (USD). Kama imebadilika mtaambiwa.
Mkishajaza muhusika atatoa Tangazo mara mbili kwenye Gazeti la Serikali juu ya nia yake ya kuomba Uraia wa Tanzania.
Baada ya hapo ombi litapelekwa kwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji. Kama hakutakuwa na mapingamizi Baadae nae atapeleka kwa Waziri husika kwa kuhalalishwa uraia wenyewe.
Kila la kheri Mkuu.