Natafuta kiki
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 911
- 1,284
CCBRT Msasani mkoani Dar es Salaam.
shukrani mkuuuKCMC Moshi wana tiba nzuri sana
mkuuu shukrani.sana vp mvumi dodomaCCBRT Msasani mkoani Dasilamu
mkuuuu nakushukuru sanaCCBRT DSM. Wataalamu sana. Huko Mvumi ni madaktari tu ila hawajabobea kuchokonoa macho.
Kama n pale makumbusho hapana, nlienda ila tatzo langu halkutatulwaInternational Eye Clinic bora kabisa
pale mkuuuu hakuna kitu rafiki yangu alikutana na dakitari mzungu lakini hakupata tiba kumbe hata wazungu hakuna kitu.sijui wazungu koko alipata tiba ccbrt .mkuuuu ulipata tiba wapi ww ukafanikishaKama n pale makumbusho hapana, nlienda ila tatzo langu halkutatulwa
Kumuona Daktari kiasi gn? Na je ina include Vipimo au?Inapatikana victoria ukishavuka jengo la Vodacom mbele kidogo utaiona kama unatokea moroco ni upande wa kushoto
Namba zao 0787888130.kila la heri na ugua pole.Afya nikitu cha muhimu mno
Kumuona Doctor ni 60,000 kama sijakosea...Kumuona Daktari kiasi gn? Na je ina include Vipimo au?
Kumuona Doctor ni 60,000 kama sijakosea...
Vipimo inategemea watataka upimwe nini.kuna kipimo mpaka 300,000 ingawa nilitumia bima..
Hiyo ni kumuona dactar pamoja na vipimo vidogo vidogo vya awali ila kutaka kujua ni tatizo gani au ni vipimo gani hasa vya kupima ili kugundua tatizo.Gharama za hosptal kwa sie wakoga vumbi ni kubwa sana.....Yaani kuona dokta tu ni elfu 60 tu hatari.....Bora serikali ipambanie kuanzisha Bima ya afya kwa wote.
CCBRTHabari wakuu, naombeni kujua hospitali nzuri ya macho kwa hapa dar na gharama zake kwani siwezi kuona mbali na kusoma siwezi . Usafiri went ni mhimu nisijekuza tatizo maana hospital nzuri ni chache sana
Nasikia huduma zao kwa sasa sio nzuriCCBRT
Umesikia kutoka kwa Nani?Nasikia huduma zao kwa sasa sio nzuri