MeWee ni ke au me?
Ingia youtube utayapata
Kama una video fupi ntumie plzPlanks
Pushap 50 unazijui au unaziskia tu?Pusha up asubuhi piga 50 jioni 50 hapa unatanua kifua na kujaza mikono kumbuka kukata tumbo
Mbona kidogo sana hizi? Watu tunaenda 200 set 4, 50*4.Pushap 50 unazijui au unaziskia tu?
Kukimbia!Mazoezi yapi yanaweza kubadili mwonekano WA umbo lako hasa kwenye kifua,tumbo na mikono.
Bila kwenda gym maana nipo mbali na mji........
Duh hongera zako kiongoziMbona kidogo sana hizi? Watu tunaenda 200 set 4, 50*4.
Kukimbia!
Mm mkuu nilianza kulea kitambi faster nikakishusha kwa kukimbia ninazunguka uwanja Mpira wa mtaani round 20 kwa dakika 25 hadi 30.. Baada YA hapo nafanya mazoezi YA viungo kuna zoezi moja la kukata kitambi uwa tunaliita kukaa kwenye kochi zuri Sana... Unakaa chini unabana punzi unanyoosha miguu alafu unainanyua juuu kama futi moja unahesabu kwa kadri YA punzi yakooo... Hapo kitambi kwaheriiiiMazoezi yapi yanaweza kubadili mwonekano WA umbo lako hasa kwenye kifua,tumbo na mikono.
Bila kwenda gym maana nipo mbali na mji........
Asante mkuuMm mkuu nilianza kulea kitambi faster nikakishusha kwa kukimbia ninazunguka uwanja Mpira wa mtaani round 20 kwa dakika 25 hadi 30.. Baada YA hapo nafanya mazoezi YA viungo kuna zoezi moja la kukata kitambi uwa tunaliita kukaa kwenye kochi zuri Sana... Unakaa chini unabana punzi unanyoosha miguu alafu unainanyua juuu kama futi moja unahesabu kwa kadri YA punzi yakooo... Hapo kitambi kwaheriiii
Miguu itakuwa fito aka utatembealea mikonoKukimbia!