Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,553
Naomba msaada kujua sehemu ya kubadilisha pass ya kusafiria ya zamani kwa Dar es salaam, niende Kurasini au Posta pale palipokuwa Wizara ya Mambo ya Ndani?
Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani.