Msaada: Naomba kujua kuhusu course ya Bachelor of Science in Biology’ kuanzia kwenye usomaji hadi kupata kazi

Lakini kiongozi nimepata fununu ya kuwa mtu ambaye kasoma Bsc biology au chemistry au physics ana qualifications za kwenda popote kwenye sekta ya afya ikiwemo MD, nursing, pharmacy.....so hakuna haja ya kurudishana nyuma kuanza diploma kama una lengo la kusoma degree. Tena sio tanzania tu nchi zote wanafanya hvyo.
Kidogo umenichanganya ya requirement ya MD ni pamoja na Bsc Biology?mbona hapo pia anapoteza muda yaani asome Bsc Biology miaka let's say 3 then akafanye tena MD mi 5 na Internship mwaka1!
 
Ndio huwenda ikawa poa zaidi kwa sababu Bsc biology ni pre medical field.
Kaka hii kitu haipo hapa bongo! Huwezi kusoma MD eti kisa una bachelor of science in biology! Hapo kama atapata MD ni yatakua ni matokeo yake ya form six yamembeba na sio hio bachelor yake!

Labda huko nje nchi za wenzetu napo sina uhakika Sana! Leta ushahidi kama unabisha!
 
Kidogo umenichanganya ya requirement ya MD ni pamoja na Bsc Biology?mbona hapo pia anapoteza muda yaani asome Bsc Biology miaka let's say 3 then akafanye tena MD mi 5 na Internship mwaka1!
Yeah ni kweli vyuo vyote vipo hivyo. So ujue hivi vitu vinaendana na moyo wa mtu huwezi jua ishalah Mungu anaweza msaidia
 
Kaka hii kitu haipo hapa bongo! Huwezi kusoma MD eti kisa una bachelor of science in biology! Hapo kama atapata MD ni yatakua ni matokeo yake ya form six yamembeba na sio hio bachelor yake!

Labda huko nje nchi za wenzetu napo sina uhakika Sana! Leta ushahidi kama unabisha!
 

Attachments

  • ENTRY REQUIREMENTS - DEGREE 2019 (1).pdf
    356.3 KB · Views: 47
Io waliweka ata mwaka 19/20 na kuna watu wali apply nawajua lkn awakupata na ninahisi mwaka huu wameitoa ...sikushauri mzee u take io risk kama vipi piga io Bsc lkn piga na masters ubaki chuo hapo
 
Nina ushahidi na ninachokiongea jaribu kuangalia entry requirement utajionea mwenyewe chuo kama muhas, kcmco, cuhas, st francis.....
Sasa Kama mtu anasoma Bsc In Biology Miaka mitatu ili lengo aje asome Afya mfano MD 5yrs, Au Nursing 4yrs kwanini asisome Diploma yoyote ya Afya sahv!!



Aseeh kichekesho Sasa unaweza kamata Mwanafunzi wa Mwaka was kwanza hiyo Programme ukamuhoji Field unafanyia wapi anakwambia hata sijui tunafanyia wapi!! Kama hataweza kuhamia Chemistry nashauri tu akamate Diploma yoyote ya Afya hapohapo UDOM!! Hatajuta!!!
 
Lakini kiongozi nimepata fununu ya kuwa mtu ambaye kasoma Bsc biology au chemistry au physics ana qualifications za kwenda popote kwenye sekta ya afya ikiwemo MD, nursing, pharmacy.....so hakuna haja ya kurudishana nyuma kuanza diploma kama una lengo la kusoma degree. Tena sio tanzania tu nchi zote wanafanya hvyo.
Ebu tuambie akimaliza anafanya fanyaje awe MD.?

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Sasa Kama mtu anasoma Bsc In Biology Miaka mitatu ili lengo aje asome Afya mfano MD 5yrs, Au Nursing 4yrs kwanini asisome Diploma yoyote ya Afya sahv!!



Aseeh kichekesho Sasa unaweza kamata Mwanafunzi wa Mwaka was kwanza hiyo Programme ukamuhoji Field unafanyia wapi anakwambia hata sijui tunafanyia wapi!! Kama hataweza kuhamia Chemistry nashauri tu akamate Diploma yoyote ya Afya hapohapo UDOM!! Hatajuta!!!
Asante kwa ushauri
 
Kwa ushauri wangu, ingawa sio wakitaalamu sana, kama ufaulu wa Chemistry upo vizuri, akifika afanye kuhamia BSc. Chemistry. Ni rahisi kuhama kwasababu kozi zote mbili zipo ndani ya College moja.

College anayoenda ni College of Natural and Mathematical Sciences (CNMS). Kozi za hapo ni:-
BSc. Biology (School of Biological Sciences)
BSc. Chemistry (School of Physical Sciences)
BSc. Physics (School of Physical Sciences)
BSc. Mathematics (School of Mathematical Sciences)
BSc. Statistics (School of Mathematical Sciences)
Na BSc. Education, ualimu amboa hauna Minor (With Education). Unamajor masomo yote mawili.

Hali ya ajira ni tete lakini hata kabla hatujafika huku, watu wa Biology, Mathematics na Physics tayari walikua wanaipata joto ya jiwe.

Watu pekee wenye unafuu ukiachana na walimu wenye Physics ni watu wa Chemistry wakifuatiwa na Statistics.

Isisahaulike kua hakuna jambo rahisi, kwahiyo lengo lisiwe kufata urahisi. Pia ifahamike kua ufaulu dhaifu hauvutii, hivyo licha ya soko zuri linaloendelea kukua la watu wa Chemistry, akihamia hapo ahakikishe anatoka na ufaulu unaoridhisha.
Mwana UDOM naona umedadavua vyema.....Bila shaka ni Kijana wa Makangara ,Shija na Mzee wa Cafe ya Mwarabuu.UDOM oyeeee
 
Kwa hiyo mkuu, unataka kusema "Ndugu yako asome Miaka 3, then aombe kwenda Degree yoyote ya Afya?"" Kwa hiyo hiyo Miaka mitatu atakuwa ni kama alikuwa anakua tu kiumri na kiakili??

Embu pima pia na kama angeitumia hiyo Miaka Mitatu kusoma Diploma ya Pharmacy au Nursing au Radiology au Clinical officer (hii Miaka mitatu akimaliza anaweza kuajiriwa, na Baada ya Miaka kadhaa akarudi kujiendeleza tena huku akiwa na Mshahara wake na pengine akiwa kapanda daraja la Mshahara kabisa).

Au Labda unataka hiyo Miaka 3 aitumie kula Bumu la Serekale...akimaliza...nimekumbuka kitu..ANAWEZA KUSOMA HIZO KOZI ALIZOCHAGULIWA, AKIMALIZA AKASOMEE MASTERS YA MAMBO YA AFYA (kuna Masters za microbiology etc kutoka Vyuo vya Afya) halafu baada ya hapo kama kuna njia ya kupata ajira huko anaweza kupata (Hii nakutaka ufatilie, uulizie..inaweza kuwa nzuri pia)

Ila pia kama kwenu mna mshiko, pia Dogo anaweza kusoma hizo Kozi alizochaguliwa, ale boom, afaulu vizuri, baada ya hapo ajiunge tena na Degree za afya mumlipie Ada, amalize fresh (future kwake iwe green)...Hii nayo nzuri kwa wenye Hela.


TAFAKURI .
Huyo muache analeta ujuaji mkuu.
Kashauriwa hapo vizuri tu bado analeta kujua.
We nchi hii usome Bsc. biology alaf utakuwa nani?
Hiyo college (kwa UDSM) nimesoma mimi miaka kadhaa iliyopita, hiyo kozi haikuwa na mtu, nakumbuka watu wa Botany science ndo walikuwa wawili tu, chemistry walikuwa wengi.

Bsc. In biology msoto wake ni uhakika sio jambo la kuuliza.
Kama unaona mpaka UDSM wameondoa hiyo ujue wana feedback nyingi namna ambavyo wamechangia kuwapotezea watu muda
 
Huyo muache analeta ujuaji mkuu.
Kashauriwa hapo vizuri tu bado analeta kujua.
We nchi hii usome Bsc. biology alaf utakuwa nani?
Hiyo college (kwa UDSM) nimesoma mimi miaka kadhaa iliyopita, hiyo kozi haikuwa na mtu, nakumbuka watu wa Botany science ndo walikuwa wawili tu, chemistry walikuwa wengi.

Bsc. In biology msoto wake ni uhakika sio jambo la kuuliza.
Kama unaona mpaka UDSM wameondoa hiyo ujue wana feedback nyingi namna ambavyo wamechangia kuwapotezea watu muda
Asante kwa ushauri.
 
Huyo muache analeta ujuaji mkuu.
Kashauriwa hapo vizuri tu bado analeta kujua.
We nchi hii usome Bsc. biology alaf utakuwa nani?
Hiyo college (kwa UDSM) nimesoma mimi miaka kadhaa iliyopita, hiyo kozi haikuwa na mtu, nakumbuka watu wa Botany science ndo walikuwa wawili tu, chemistry walikuwa wengi.

Bsc. In biology msoto wake ni uhakika sio jambo la kuuliza.
Kama unaona mpaka UDSM wameondoa hiyo ujue wana feedback nyingi namna ambavyo wamechangia kuwapotezea watu muda
Pia udsm alichaguliwa hiyo botanical science tukamwelekeza aende bsc biology udom.
Lakini kiujumla kadri mlivyoshauri nimeona jambo la wengi wame proposal haamie bsc chemistry nayo ni nzuri pia tutafanyia kazi ushauri.
 
Back
Top Bottom