Mbagala stendi
JF-Expert Member
- Nov 8, 2020
- 289
- 266
- Thread starter
- #41
Hahahahaha 😁😁😁 ama kweli mitano tenaMiaka yote hiyo kwa kutafuta salary ya 1.45 mill.
Aache ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha 😁😁😁 ama kweli mitano tenaMiaka yote hiyo kwa kutafuta salary ya 1.45 mill.
Aache ujinga
Utasikiahawa watoto wanapenda sana kupoteza Muda, aachane na huo upuuzi asome diploma ya Nursing . Over
Tena hapo kabla ya makato halafu sasa hivi kazi ni kijijini kwenye zahanati hakuna hata umeme atakufa kwa pressure.Hahahahaha 😁😁😁 ama kweli mitano tena
Duh hatariTena hapo kabla ya makato halafu sasa hivi kazi ni kijijini kwenye zahanati hakuna hata umeme atakufa kwa pressure.
Kiongozi nataka nikuhulize swali kwhyo hakiamia diploma udom utaratibu upoje wa kuama kwend diploma in medical laboratory alf vipi boom anachana nalo maana kapata au inakuwajeSasa Kama mtu anasoma Bsc In Biology Miaka mitatu ili lengo aje asome Afya mfano MD 5yrs, Au Nursing 4yrs kwanini asisome Diploma yoyote ya Afya sahv!!
Aseeh kichekesho Sasa unaweza kamata Mwanafunzi wa Mwaka was kwanza hiyo Programme ukamuhoji Field unafanyia wapi anakwambia hata sijui tunafanyia wapi!! Kama hataweza kuhamia Chemistry nashauri tu akamate Diploma yoyote ya Afya hapohapo UDOM!! Hatajuta!!!
Utasikia
"Mimi diploma siwezi kusoma"
"siwezi Acha boom nikasome diploma"
"Wenzangu wanasoma ngazi ya digiriii Mimi diploma hapana Bora nibakie nyumbani mwaka mzima"
na mengineyo kama hayo