Msaada: Naomba kujua kirefu cha herufi IPP inayomilikiwa na Reginald Mengi

Ilikuwa zaman ilipobinafsishwa ikaitwa crdb,zaman ilimilikiwa na serikali ilikuwa inaitwa benk ya ushirika na marndeleo vijijini soma umiliki was sasa was crdb,so crdb bank,neno crdb halona kirefu kwa sasa
Bado serikali ina hisa katika benki hii, na serikali ilipata gawio lake wiki kadhaa zilizopita
 
Wandugu,
Mimi nina umri mkubwa kiasi, na niko Dar zaidi ya miaka 30 sasa. Nafahamu IPP ni group of companies zinazomillikiwa na bwaba R. Mengi. Lakini nini kirefu hasa cha IPP?
Help Please!
kirefu chake ni
ipp-international pumba point.
 
Asante mkuu kwa kumwelimisha
Kirefu kilitika baada ya kuchange umiliki, na wakaogopa kuloose wateja ikaendelea CRDB BANK, instead of commercial rular development bank, na NMB vile Vile, siyo national microfinance Bank tena ni NMB bank
 
ha ha ha ha ha ha, kwanza mambo vipi? mzima wewe ngoja nikupe kirefu cha ipp ila ucje angua cheko na ukazimia kwa masaa yasiozidi 5, kirefu cha IPP NI (INTERNATIONAL PUMBA PRODUCER)
:mod: THANKS.:dance:
BYE:A S 103:
Haichekeshi .
 
Kaisha sana. Ndio maana anashangilia kuyumba kwa manji. Nakumbu juzi juzi aliandika twtt yake JPM asigeuke nyuma
 
Back
Top Bottom