Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 646
- 945
wakuu nimekua nikisumbuliwa na vichomi mara kwa mara maeneo ya chini ya kitovu kwa pembeni (kwenye mitoki) upande wa kulia na kushoto yani huwa kinachoma upande mmoja baadae upande mwingne,,
alafu wakati mwingne nikiwa nafanya mapenzi nikipiga tu bao hasa bao la pili,,napata maumivu makali ya tumbo (chini ya kitovu) panakua pananyonga sana na misuli ya uume inakua inauma sana na uume unakua kama una ganzi flan hivi hali hiyo uume kuuma haiachi mpaka uume ulegee ndio napata nafuu nabaki na maumivu ya tumbo,ambayo nayenyewe yanapotea baada ya muda
alafu wakati mwingne nikiwa nafanya mapenzi nikipiga tu bao hasa bao la pili,,napata maumivu makali ya tumbo (chini ya kitovu) panakua pananyonga sana na misuli ya uume inakua inauma sana na uume unakua kama una ganzi flan hivi hali hiyo uume kuuma haiachi mpaka uume ulegee ndio napata nafuu nabaki na maumivu ya tumbo,ambayo nayenyewe yanapotea baada ya muda