DOTHRAK
Member
- May 22, 2021
- 15
- 154
Wakuu salam..
Niende moja kwa moja kwenye mada nimepangwa field kituo cha TMA(mamlaka ya hali ya hewa) Mtwara. Naomba msaada kwa mtu aliepo huku anipe maelezo ya vitu kama malazi, ili nijue najipanga vipi.
Mfano bei ya vyumba karibu na eneo hilo, bei ya chakula etc.
Natanguliza shukrani .
Niende moja kwa moja kwenye mada nimepangwa field kituo cha TMA(mamlaka ya hali ya hewa) Mtwara. Naomba msaada kwa mtu aliepo huku anipe maelezo ya vitu kama malazi, ili nijue najipanga vipi.
Mfano bei ya vyumba karibu na eneo hilo, bei ya chakula etc.
Natanguliza shukrani .