Heshima kwenu wakuu. Natamani kufika Nairobi Christmas hii.Bahati mbaya sijawahi kufika huko. Kwa yeyote mwenye uzoefu, naomba kufahamu yafuatayo;-
1.Gharama za ordinary hotels pale Nairobi kwa siku
2.Gharama za ordinary meals
Nawasilisha kwenu wakuu.Naomba msaada wenu please
1.Gharama za ordinary hotels pale Nairobi kwa siku
2.Gharama za ordinary meals
Nawasilisha kwenu wakuu.Naomba msaada wenu please