Meshack mtobwa
Member
- Feb 23, 2017
- 30
- 5
Habar naomba kujua gharama za certificate kwa course ya IT pale UDSM. pia vigezo Mimi nina D3 NA B1 katka mtihani Wa form 4. Pia natamani kujua jinsi ya Ku apply na wakati gani wanaaza au vyuo vinafunguliwa. Nisinge penda kujibiwa majibu mabaya maana ninahaja ya kujua munisaidie c na uzoefu. Asante
Email. Mesheckbazilmtobwa.8@gmail.com
Contact. 0755021670
Facebook. Mrmtobwa mtobwa
Kama utakuwa na moyo Wa kunisaidia unaweza nipata kwanjia hizo apo juu
Email. Mesheckbazilmtobwa.8@gmail.com
Contact. 0755021670
Facebook. Mrmtobwa mtobwa
Kama utakuwa na moyo Wa kunisaidia unaweza nipata kwanjia hizo apo juu