Kelela
Senior Member
- Nov 7, 2020
- 186
- 269
Habari wana JF, Naomba kujulishwa mambo yafuatayo kwa wanaofahamu.
1. Chuo kinachotoa mafunzo ya udereva wa pikipiki Dar es salaam (Specifically wilaya ya Temeke).
2. Jinsi ya Kupata Leseni ya Kuendesha Pikipiki na Gharama zake.
3. Jinsi ya Kubadili Plate number kutoka Nyeupe kuwa njano.
Natanguliza shukrani.
1. Chuo kinachotoa mafunzo ya udereva wa pikipiki Dar es salaam (Specifically wilaya ya Temeke).
2. Jinsi ya Kupata Leseni ya Kuendesha Pikipiki na Gharama zake.
3. Jinsi ya Kubadili Plate number kutoka Nyeupe kuwa njano.
Natanguliza shukrani.