Msaada: Naomba kufahamishwa bei za camera

prof Mose

Member
May 10, 2019
37
28
Samahani wanaJamiiForums nipo kitaa maeneo fulani jijini Dodoma. Kwa muda mrefu nimekuwa nikijishughulisha na upigaji picha kwa kutumia simu yangu na mpaka Sasa nimefikia hatua ya kutengeneza jina.

Sasa tatizo ni kwamba imekuwa ni vigumu kwenda na simu kupiga picha kwenye matukio Kama harusi, ubatizo n.k Hivyo kwa kuwa sijawahi kumiliki camera sijui hata Bei yake na nipo kijijini naomba wenye uzoefu wanisaidie bei rahisi za camera ndogo walau ambayo haizidi 300k na wapi zinapatikana kwa Dodoma.

Natanguliza shukrani.
 
Aisee kwa 300K. Hutaweza kupata DSLR, yaani zile camera za maana hata used. Labda nikushauri uanze na Digital ndogo , pengine utafute Digital Used ya kuanzia. Pitia kwenye maduka camera Used na pia ongea na wapigapicha watakupa uzoefu
 
mkuu simu zinatoa picha nzuri kuliko digital camera, ushauri ongeza ongeza kidogo kwenye laki 4 mpaka 6 dslr used zinapatikana. otherwise hio laki 3 nunua tu simu flagship ya zamani.

chengine kinachofanya simu isitoe video nzuri za harusi ama birthday ni
1. microphone mbovu za simu
2.mitikisiko ya mkono
3. mwanga

ukinunua mic ya nje na tripod utakuwa umeimprove sana kazi hata kwa simu.
71S75ex05ZL._AC_SL1500_.jpg
 
Aisee kwa 300K. Hutaweza kupata DSLR, yaani zile camera za maana hata used. Labda nikushauri uanze na Digital ndogo , pengine utafute Digital Used ya kuanzia. Pitia kwenye maduka camera Used na pia ongea na wapigapicha watakupa uzoefu
Asante mkuu nimekupata
 
mkuu simu zinatoa picha nzuri kuliko digital camera, ushauri ongeza ongeza kidogo kwenye laki 4 mpaka 6 dslr used zinapatikana. otherwise hio laki 3 nunua tu simu flagship ya zamani.

chengine kinachofanya simu isitoe video nzuri za harusi ama birthday ni
1. microphone mbovu za simu
2.mitikisiko ya mkono
3. mwanga

ukinunua mic ya nje na tripod utakuwa umeimprove sana kazi hata kwa simu.
71S75ex05ZL._AC_SL1500_.jpg
Ok nashukuru Sana ,nimekupata
 
Aisee kwa 300K. Hutaweza kupata DSLR, yaani zile camera za maana hata used. Labda nikushauri uanze na Digital ndogo , pengine utafute Digital Used ya kuanzia. Pitia kwenye maduka camera Used na pia ongea na wapigapicha watakupa uzoefu
Sawa mkuu
 
mkuu simu zinatoa picha nzuri kuliko digital camera, ushauri ongeza ongeza kidogo kwenye laki 4 mpaka 6 dslr used zinapatikana. otherwise hio laki 3 nunua tu simu flagship ya zamani.

chengine kinachofanya simu isitoe video nzuri za harusi ama birthday ni
1. microphone mbovu za simu
2.mitikisiko ya mkono
3. mwanga

ukinunua mic ya nje na tripod utakuwa umeimprove sana kazi hata kwa simu.
71S75ex05ZL._AC_SL1500_.jpg
Hello Chief-Mkwawa, nisaidie kujua printer nzuri kwa ajili ya picha na projector ya kuonyeshea mpira. Ipi nzuri SONY au EPSON.
 
Hello Chief-Mkwawa, nisaidie kujua printer nzuri kwa ajili ya picha na projector ya kuonyeshea mpira. Ipi nzuri SONY au EPSON.

Printer nzuri za picha ni Epson. Kwa matumizi ya ofisi ndogo hadi ofisi zenye ukubwa wa kati chagua Epson printer. Option ya haraka na bora kwa sasa ni epson L850 ambayo ina option ya kuprint picha/passport size bila kutumia computer. Na pia ni mojawapo ya zile printer zenye mitungi ya wino ya nje.
 

Attachments

  • L850_3.jpg
    L850_3.jpg
    15.8 KB · Views: 14
Hello Chief-Mkwawa, nisaidie kujua printer nzuri kwa ajili ya picha na projector ya kuonyeshea mpira. Ipi nzuri SONY au EPSON.
Projector nzuri kwa mpira hasa mchana angalia wingi wa lumens, ukikosa kabisa angalau lumens 3000 ila ikizidi hapo ni vyema zaidi zipo hadi lumens 10,000 na kuendelea. jinsi projector itakavyokaa mbali na kumulika pakubwa ndio jinsi utavyohitaji lumens nyingi.

chengine ni native resolution ya projector, angalau iwe HD (1280x720) ila ikiwa full HD (1920x1080) ni vyema zaidi, uwe makini hapo kwenye native resolution kuna projector zinakuwa 480p ama chini ila zina uwezo wa kuproject hd ama full hd, hivyo usiangalie uwezo wa kuproject bali ile native resolution yake, EPL siku hizi user interface yao ipo optimized na vifaa Vya HD, tv za kizamani hazioneshi vizuri same kwa projector za kizamani zisizo za HD.

sony, Epson, ben Q, LG na Optoma ni brand nzuri, sema usiangalie sana brand bila kujua specs.
 
mkuu simu zinatoa picha nzuri kuliko digital camera, ushauri ongeza ongeza kidogo kwenye laki 4 mpaka 6 dslr used zinapatikana. otherwise hio laki 3 nunua tu simu flagship ya zamani.

chengine kinachofanya simu isitoe video nzuri za harusi ama birthday ni
1. microphone mbovu za simu
2.mitikisiko ya mkono
3. mwanga

ukinunua mic ya nje na tripod utakuwa umeimprove sana kazi hata kwa simu.
71S75ex05ZL._AC_SL1500_.jpg
Hivi vifaa vinapatikana kwa Tshs ngapi mkuu
 
Hivi vifaa vinapatikana kwa Tshs ngapi mkuu
Inategemea na quality hata ukitaka vya 30,000 vipo.

Hizo lavalier mic zipo kuanzia 10,000 kkoo, sema ukitaka nzuri ni za kuagizia online, led rahisi kupatikana, na tripod kama 10,000 pia online hivyo vidogo, kwa zile ndefu zinafika hadi 70,000.

Si vitu vya kukurupuka hasa hio mic, ni vitu vya kukaa na kufanyia utafiti mazingira yako na kitu unachotaka.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom