Ahsante mkuuKwanza hakikisha una kuku wako mwenyewe wanaotaga na sio ujumue kwa mtu ndio uuze.
Ukiwa na yako mwenyewe utajua jinsi ya kupanga bei na uhakika wa stock
Kwanza hakikisha una kuku wako mwenyewe wanaotaga na sio ujumue kwa mtu ndio uuze.
Ukiwa na yako mwenyewe utajua jinsi ya kupanga bei na uhakika wa stoc
Akiwa mzalishaji anaweza shusha bei kwa wateja wake mtaalamu. Tofauti na akiwa ananunua jumla kwa mtu mwingine.Soko ndo linapanga bei sio mwenye bidhaa, hizi bidhaa zipo sokoni tayari.
Mkuu wewe unaongea kujipangia bei kwa kupunguza kutoka kwenye bei halisi😂, sasa hapa unakua unafanya charity sio biashara.Akiwa mzalishaji anaweza shusha bei kwa wateja wake mtaalamu. Tofauti na akiwa ananunua jumla kwa mtu mwingine.
Umeona sasa kuwa unakuwa na maamuzi ya bei kutokana na gharama za usalishaji? Unaweza amua iwe charity au iwe biashara. Wewe tu! Mtaalamu umenielewa ila unanisaka daaahMkuu wewe unaongea kujipangia bei kwa kupunguza kutoka kwenye bei halisi, sasa hapa unakua unafanya charity sio biashara.
😂😂😂 nimekuelewa mkuu, muhimu faida ionekaneUmeona sasa kuwa unakuwa na maamuzi ya bei kutokana na gharama za usalishaji? Unaweza amua iwe charity au iwe biashara. Wewe tu! Mtaalamu umenielewa ila unanisaka daaah
Muhimu source ya uhakika pa kuyatoa hayo mayai.halafu masoko sio ya wasiwasi