Msaada: Naomba kuelekezwa yalipo Makao Makuu ya NIDA jijini Dar, nahitaji nakala ya kitambulisho cha utaifa

Pain killer

JF-Expert Member
Aug 15, 2017
14,095
21,230
Habari,

Naomba msaada kwa anayejua Makao Makuu NIDA kwa hapa Dar, sehemu, mtaa na eneo kwa ujumla.

Sijapata kitambulisho cha NIDA ila namba ninayo, nataka kupitia namba nipate copy ya kitambulisho mbele na nyuma.

Utaratibu wa kuchukua online naona NIDA wameutoa, nataka kufika ofice zao nione kama naweza pata hizo copy

Kwa ambaye alishapata huo msaada, maelezo tafadhali.
 
Ndugu yangu mbona vitu ni simple ulijaribu kweli hii website yao link hii hapa 👇


Alafu mbona ukiingia Google tu ukiandika NIDA Tanzania unaletewa kila kitu hiyo location uliotaka na maeelezo yakutosha tu kuna Google Map unaweza ingia ukasearch ukapata location ya NIDA n.k
 
Kama upo kinondoni makao makuu yapo kawe mwisho kabisa kituoni pale kwa mchungaji mwamposa .ukishuka hapo ni mwendo wa dakika 4 mpaka kufika ofisini

Kama upo ubungo, makao makuu yapo kibamba. Unapanda gari mbaka mbezi Kimara, kisha unatafuta magari yakuelekea kibamba nauli 400
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Ndugu yangu mbona vitu ni simple ulijaribu kweli hii website yao link hii hapa


Alafu mbona ukiingia google tu ukiandika NIDA Tanzania unaletewa kila kitu hiyo location uliotaka na maeelezo yakutosha tu kuna Google Map unaweza ingia ukasearch ukapata location ya NIDA nk...
Namba ninayo tayari ,nishaipata walinitumi a,

Nataka copy ya kitambulisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama nakumbuka yapata wiki kama mbili na nusu Waziri Mkuu akijibu maswali bungeni alisema wenye namba tu hata kama hawana kitambulisho wala nakala wahudumiwe kwenye ofisi watakazokwenda nami pale UHAMIAJI nilipata huduma japo sikuwa na nakala ya kitambulisho.

Nakushauri kwanza ukahudumiwe kwani namba kama ipo mengine ni madogo mno.
 
Mkuu kama nakumbuka yapata wiki kama mbili na nusu Waziri Mkuu akijibu maswali bungeni alisema wenye namba tu hata kama hawana kitambulisho wala nakala wahudumiwe kwenye ofisi watakazokwenda nami pale UHAMIAJI nilipata huduma japo sikuwa na nakala ya kitambulisho.

Nakushauri kwanza ukahudumiwe kwani namba kama ipo mengine ni madogo mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanahitaji copy mkuu,

Hapa nawaza napata vip, ila namba ninayo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama upo kinondoni makao makuu yapo kawe mwisho kabisa kituoni pale kwa mchungaji mwamposa .ukishuka hapo ni mwendo wa dakika 4 mpaka kufika ofisini

Kama upo ubungo, makao makuu yapo kibamba. Unapanda gari mbaka mbezi Kimara, kisha unatafuta magari yakuelekea kibamba nauli 400

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kinondoni anapata na mafuta ya mwaposa
 
Back
Top Bottom