Unaomba chuoni moja kwa moja, jinsi ya kuomba nenda ukagoogle kisha tembelea tovuti ya chuo husika utaona sehem za online application kisha utaendeleaLeo dirisha la kuomba kusoma vyuo vikuu mbalimbali limefunguliwa, naomba mwenye ujuzi jinsi ya kuomba anisaidie.
Pia tunaomba chuoni moja kwa moja ama TCU, ukiniwekea procedures utakuwa umenisaidia sana.