Cathy Diwani
Senior Member
- Feb 13, 2016
- 119
- 182
Habarini wana jamvi.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, ninaomba mniazime utaalamu wa namna ya ku apply emoj (zile za whatsapp)kwenye posts za hapa jf, 'cause mimi niki apply from my phone's keyboard nikipost hazitokei.
Je,ni aina ya Keyboard au kuna utaalamu wa ziada?
Natanguliza shukrani.
Ccchief mkwawa
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, ninaomba mniazime utaalamu wa namna ya ku apply emoj (zile za whatsapp)kwenye posts za hapa jf, 'cause mimi niki apply from my phone's keyboard nikipost hazitokei.
Je,ni aina ya Keyboard au kuna utaalamu wa ziada?
Natanguliza shukrani.
Ccchief mkwawa