Msaada namna ya kupata namba inayotumika katika simu iliyopotea

incredible terminator

JF-Expert Member
Aug 1, 2016
2,229
3,524
Wakuu naombani msaada wenu
Usiku wa kuamkia leo nimeibiwa room kwangu Sim mbili, laptop na wallet ikiwa na kitambulisho cha Chuo kikuu cha Dodoma, kadi ya Bima ya Afya na hela ndani ya wallet nimejaribu kuripoti kituon wameniambia kuweza kupata hyo simu ni vigumu na itachukua mda hali ambayo mimi binafsi itanipotezea mda na istoshe ndio tunakaribia katika kipindi cha mitihani ya Chuon na kitambulisho ndio nitatumia katika mihihani hyo pia.

Ningependa msaada wenu kwa anaeweza kunisaidia namna ya kutrack sim ili alieibeba akiingiza lain yake niione namba ikiyotumiwa kwenye ile simu kwani tayari nina IMEI ya simu iliyoibiwa na email yake ipo active had mda huu.

Naombeni msaada kwa anaeweza kunisaidia namna ya kupata namba itakayoingizwa kwenye ile sim ili inipe urahisi wa kumpata alieniibia.
 
Ilikua simu gani mkuu kama ni iphone ntakusaidia chap kama unakumbuka password za icloud yako.kama ni android hapo tcra lakini uhakika wa kupatikana upo kama imei number mmeona ipo hewani kweli.
 
Kuna mtu anafanya hyo kazi gharama ni laki moja! Mm hajawahi nifanyia ila kuna mashuhuda ndio niliona wakisema wamefanikiwa,, mbali na hapo jaribu kwenda tcra uwasikilize na wao!
 
Au niwewe mwenyewe umeiba,au una mpango wa kuiba unataka kujua kama huwa inawezekana kupatikana namba ikiwekwa kwenye simu uwezekano upo mkuu sema mkono mtupu haurambwi
 
Au niwewe mwenyewe umeiba,au una mpango wa kuiba unataka kujua kama huwa inawezekana kupatikana namba ikiwekwa kwenye simu uwezekano upo mkuu sema mkono mtupu haurambwi
nenda TCRA lakini nadhani lazima uwe na Lost/stolen Report ya polisi
 
e93245e97f4ba0ee5a0d7e90fbf79dd1.jpg
nikisearch location kwa kutumia app ya Vg v20 spy wanaleta hivyo mi napenda kujua kama kuna uwezekano wa kuona namba iliyotumika kwenye hyo divice naombeeni msaada
 
kama ukiona kitu hakikuhusu kaa kimya acha mambo ya kike.
We ndio una mambo yakike ndio mana umeibiwa kilofa namna hiyo eti simu2,wallet,laptop ungekua mtoto wa kiume hapo wangeiba soksi tu.kwanza siamini 100% kama umeibiwa kweli wewe.
Maana huo uandishi wako hauna mashiko ya kuibiwa vitu vyote hivyo.
Kwaiyo ukiibiwa kitambulisho cha chuo huwezi kufanya mtihana hata kama ada ulilipa?
Badala uulize kupata kitambulisho cha kufanyia mtihani umekomalia kumpata mwizi nina wasiwasi nawewe mwizi anapatikana aisee..

Weka hizo imei number za simu tufanye kazi usituwekee email hapa.
 
Au niwewe mwenyewe umeiba,au una mpango wa kuiba unataka kujua kama huwa inawezekana kupatikana namba ikiwekwa kwenye simu uwezekano upo mkuu sema mkono mtupu haurambwi
tatzo vtoto wa vya form two vinavamia jukwaa vinacoment kwenye post za watu mambo yasiyokuw na maana
 
tatzo vtoto wa vya form two vinavamia jukwaa vinacoment kwenye post za watu mambo yasiyokuw na maana
Hahhaa naona unakaribia kufanya mtihani wa chuon mkuu.
Me natoa onyo tu kama unawazo la kuiba simu acha kabisa mkuu tutakukamata mchana kweupe labda ukauze kwa mafundi simu kama spear.
 
We ndio una mambo yakike ndio mana umeibiwa kilofa namna hiyo eti simu2,wallet,laptop ungekua mtoto wa kiume hapo wangeiba soksi tu.kwanza siamini 100% kama umeibiwa kweli wewe.
Maana huo uandishi wako hauna mashiko ya kuibiwa vitu vyote hivyo.
Kwaiyo ukiibiwa kitambulisho cha chuo huwezi kufanya mtihana hata kama ada ulilipa?
Badala uulize kupata kitambulisho cha kufanyia mtihani umekomalia kumpata mwizi nina wasiwasi nawewe mwizi anapatikana aisee..

Weka hizo imei number za simu tufanye kazi usituwekee email hapa.
Ona sasa jaman wana jamii forum huyu mtoto anachokizungumza kwa Ada na mtihan vina uhusiano gani jaman mara zingine inalazimu nicheke kwann nianze kujibizana na ww ndg ile hali inaonesha haujui kitu ushaur wangu naomba kama ukijua kitu hakikuhusu pita kushoto nenda huko kwa majukwaa ya mnaolingana akili.

mbona unaforce tugombane ndg ile hali imeonesha wote tunahitaji msaada? mimi ninahitaji msaada wa upotevu wa vitu na ww unahitaj msaada wa kutibiwa akili hivyo tulia watu wenye busara zao watusaidie kaka
 
Ona sasa jaman wana jamii forum huyu mtoto anachokizungumza kwa Ada na mtihan vina uhusiano gani jaman mara zingine inalazimu nicheke kwann nianze kujibizana na ww ndg ile hali inaonesha haujui kitu ushaur wangu naomba kama ukijua kitu hakikuhusu pita kushoto nenda huko kwa majukwaa ya mnaolingana akili.

mbona unaforce tugombane ndg ile hali imeonesha wote tunahitaji msaada? mimi ninahitaji msaada wa upotevu wa vitu na ww unahitaj msaada wa kutibiwa akili hivyo tulia watu wenye busara zao watusaidie kaka
Soma tena ulichokiandika.
 
Ungekuwa na zile app za anti thief Kama avast,au safiri uje Hapo msimbazi,police Kama sio centre polisi,wanakitengo cha kutafuta simu iliyoibiwa
 
Back
Top Bottom