Hali ni mbaya sana. Niko eneo tukio hapa Rhotia mbele kidogo na madukani ila ajabu mpaka sasa hivi hakuna vyombo vya kuweza kunyanyua lile gari. Toka saa kumi na moja watu wanalia ndani ya gari. Tuzidi kuwaombea maana naona wengi bado wako ndani ya gari. Hali sio nzuri. Barabara imefungwa so kama uko mto mbunau karatu baki hapo hapo. Wito wangunkwa kamati yabulinzi nanusalama ya wilaya wajaribu hata kuomba Tanesco watumie winchi wao kugeuza gari waokoe watu. Naona sasa askari wanaanza kufukuza maana sio mtu mwenye maamuzi muhimu hapaJamani wadau,
Mimi ni mmoja ya watu wanaoogopa sana nyoka na nimekuwa nikijiuliza hivi ikitokea mtu yuko porini mwenyewe na hakuna uwezekano wa kupata msaada wowote ule halafu akakutana na ajali ya kung'atwa na nyoka mwenye sumu kali nifanyeje ili sumu hio isinidhuru na nimekua nikisikia kuwa sumu husambaa sana mwilini ukianza kukimbia, ukiwa na pressure, pia hurusiwi kufunga mguu kwa juu ili uzuie sumu kusambaa.
Msaada wadau maana bado napata shida sana namna ya kupambana na sumu ya nyoka.
Nunua lile jiwe LA nyoka, LA kutoa sumu pindi ukingatwa
Nyoka ndio mnyama anaeongoza kwa kuua watu wengi duniani kwa mwaka,then kiboko..kuna haja kweli ya kulizungumza kwa upana hili,kama kuna wenye know how watusaidie.