Msaada namna ya kuondoa tatizo la kutoa kamasi zenye uchafu mweusi!

Korozoni

JF-Expert Member
Oct 24, 2016
264
105
Habari za muda huu wana jukwaa la afya!

Kwa wiki kama mbili nimekuwa nikikabiliwa na tatizo la mafua,baada ya kutumia dawa aina ya Piriton(mafua yamepoa),lakini hivi karibuni kamasi zimekuwa zikitoka zikiwa na uchafu mweusi sana kiasi cha kunitia hofu!

Tatizo la mafua lilinianza baada ya kutumia muda mwingi shambani nikipalilia mahindi.

Mwenye utaalamu na hili anisaidie tafadhali.


Jioni njema!
 
Habari za muda huu wana jukwaa la afya!

Kwa wiki kama mbili nimekuwa nikikabiliwa na tatizo la mafua,baada ya kutumia dawa aina ya Piriton(mafua yamepoa),lakini hivi karibuni kamasi zimekuwa zikitoka zikiwa na uchafu mweusi sana kiasi cha kunitia hofu!

Tatizo la mafua lilinianza baada ya kutumia muda mwingi shambani nikipalilia mahindi.

Mwenye utaalamu na hili anisaidie tafadhali.


Jioni njema!
SIKU NYINGINE USITUMIE PIRITON SIYO DAWA YA MAFUA
 
Kweli eh!nifumbue mkuu!
MAFUA NI SAWA NA OIL CHAFU.NA ILI MWILI UWE SAFI UNAHITAJI VITU VINGI IKIWEMO VITAMIN C AMBAYO NDIYO KINGA NA DAWA YA MAFUA .HIVYO BASI HUPASWI KUTUMIA PIRITON KWA KUTIBU MAFUA KWANI HUSABABISHA MAFUA KUGANDA BADALA YA KUTOKA KAMA OIL CHAFU.BAADAVYA KUGANDA KINACHOWEZA KUTOKEA NI:-AMA KUOZESHA MIANZI YA PUA AU
KUVUJA KWA MAKAMASI BILA UTARATIBU.
USHAURI:
TUMIA JUISI YA LIMAO YAANI LIMAO 1CHANGANYA NA GLASS 1 YA MAJI KUNYWA ASUBUHI NA JIONI KWA SIKU3.AU
UKWAJU GLASS1 USIWE MCHACHU SANA NA UKAJAZA SUKARI.KISHA ULETE MREJESHO
 
MAFUA NI SAWA NA OIL CHAFU.NA ILI MWILI UWE SAFI UNAHITAJI VITU VINGI IKIWEMO VITAMIN C AMBAYO NDIYO KINGA NA DAWA YA MAFUA .HIVYO BASI HUPASWI KUTUMIA PIRITON KWA KUTIBU MAFUA KWANI HUSABABISHA MAFUA KUGANDA BADALA YA KUTOKA KAMA OIL CHAFU.BAADAVYA KUGANDA KINACHOWEZA KUTOKEA NI:-AMA KUOZESHA MIANZI YA PUA AU
KUVUJA KWA MAKAMASI BILA UTARATIBU.
USHAURI:
TUMIA JUISI YA LIMAO YAANI LIMAO 1CHANGANYA NA GLASS 1 YA MAJI KUNYWA ASUBUHI NA JIONI KWA SIKU3.AU
UKWAJU GLASS1 USIWE MCHACHU SANA NA UKAJAZA SUKARI.KISHA ULETE MREJESHO
Dah,shukrani mkuu,ngoja nishunghulikie ushauri wako.Asante sana.
 
Back
Top Bottom