Msaada: Namna ya kuondoa password kwenye simu

baba mausingizi

Senior Member
Jun 15, 2016
189
119
Naamini mpo salama,poleni na majukumu,kama nilivyoeleza niliweka password kwenye simu na nimezisahau nimejaribu kurestat imekubali ila bado inanidai password simu ni Tecno pover air 3
 
Kama upo Dar nicheki.

Nilipe 10,000.

Ila kama unajisikia kujaribu fanya hivi.

ShikiliaVolume+ button na Power button. Simu ikiwaka achia Power button endelea kushikilia Volume+.

Ikija interface ya No Command. Bonyeza power na volume+ button kwa sekunde 3 ili ikufikishe kwenye recovery interface.

Ukifika kwenye recovery. Kama chini kabisa kuna option ya More, ifuate hiyo na wipe data kwa kuingilia hapo kama haipo kubali tu kuwipe data.

Baada ya kuiwasha simu utatakiwa kuweka email na password yako ya kabla hujarestord simu.

Kama huna tafuta uzi wangu wa kubypass frp utakuongoza
 
Kama upo Dar nicheki.

Nilipe 10,000.

Ila kama unajisikia kujaribu fanya hivi.

ShikiliaVolume+ button na Power button. Simu ikiwaka achia Power button endelea kushikilia Volume+.

Ikija interface ya No Command. Bonyeza power na volume+ button kwa sekunde 3 ili ikufikishe kwenye recovery interface.

Ukifika kwenye recovery. Kama chini kabisa kuna option ya More, ifuate hiyo na wipe data kwa kuingilia hapo kama haipo kubali tu kuwipe data.

Baada ya kuiwasha simu utatakiwa kuweka email na password yako ya kabla hujarestord simu.

Kama huna tafuta uzi wangu wa kubypass frp utakuongoza
Hiyo ni kubypass FRP au ku hard reset simu?

FRP - Factory Reset Protection haiondolewi kizembe hivo.

Plus, kama password ya email anayo, aendelee kukosea na kukosea mara nyingi sana mpaka simu imuombe areset password kwa email. Hamna haja ya kuwipe data.

Kama simu sio yake na ni Android 8+ good luck bypassing FRP kwenye hiyo kitu
 
Hiyo ni kubypass FRP au ku hard reset simu?

FRP - Factory Reset Protection haiondolewi kizembe hivo.

Plus, kama password ya email anayo, aendelee kukosea na kukosea mara nyingi sana mpaka simu imuombe areset password kwa email. Hamna haja ya kuwipe data.

Kama simu sio yake na ni Android 8+ good luck bypassing FRP kwenye hiyo kitu
Hivi si usome mpaka mwisho uelewe?

Huoni nimesema kama hakumbuki password na email autafute uzi wangu unaozungumzia kubypass frp?

Na ninasema frp zinatolewa kizembe. Pigana basi
 
Back
Top Bottom