Msaada: Namna ya kulipia maombi ya mafunzo ya Ualimu

Kimpyempye

JF-Expert Member
Dec 11, 2018
722
1,147
Hivi karibuni Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia ilitangaza maombi ya mafunzo ya ualimu ambayo deadline ya kuomba ni kesho kutwa.Naona ukiingia utakuta kuna options ama njia mbalimbali za kulipia. Cha ajabu haijaelezwa muombaji anatakiwa kulipia shilingi ngapi!Mwenye ufahamu msaada tafadhali
 
Hivi karibuni Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia ilitangaza maombi ya mafunzo ya ualimu ambayo deadline ya kuomba ni kesho kutwa.Naona ukiingia utakuta kuna options ama njia mbalimbali za kulipia. Cha ajabu haijaelezwa muombaji anatakiwa kulipia shilingi ngapi!Mwenye ufahamu msaada tafadhali
Kuna watu bado mnasoma ualimu
 
Wafunge vyuo vya ualimu, wavifungue 2040 kwa ajiri ya kureplace.


70% ya walimu watastaafu kuanzia 2045
 
Wafunge vyuo vya ualimu, wavifungue 2040 kwa ajiri ya kureplace.


70% ya walimu watastaafu kuanzia 2045
Umeongea kitu kizuri Sana.


Naumia.sana pale ninapo ona wadogo zangu wengi wakiomba kwenda kusoma kozi ya ualimu.

Huku graduates nikiwemo Mimi tukiwa tumepigwa bench kitaaa

Ajira elfu Sita tulioomba zaidi ya elu 90 nafikiria baada ya miaka 3 au 4 itakuaje

Yote kwa yote Ni kumuachia Mungu kila mmoja anabahati yake.
 
Umeongea kitu kizuri Sana.


Naumia.sana pale ninapo ona wadogo zangu wengi wakiomba kwenda kusoma kozi ya ualimu.

Huku graduates nikiwemo Mimi tukiwa tumepigwa bench kitaaa

Ajira elfu Sita tulioomba zaidi ya elu 90 nafikiria baada ya miaka 3 au 4 itakuaje

Yote kwa yote Ni kumuachia Mungu kila mmoja anabahati yake.
Ndugu yangu tatizo la ajira ni la kidunia. Hivi leo fani gani inauhakika wa ajira?Hakuna hata moja. Ila ninakuhakikishia ipo siku Walimu wengi watapata ajira. Uhitaji bado ni mkubwa, udahili wa wanafunzi unaongezeka, idadi ya watu inaongezeka kwa kasi na mashule yanaongezeka kila uchao. Mtaajiriwa tu siku moja
 
Back
Top Bottom