Hahahajahajah majibu mengineHakuna kujitoa,hapo komaa tu kuzisoma
Pga sim kwa mtandao husika ,,pole sanaWadau nilijiunga na huduma ya mtoto kwa 15001 ila bahati mbaya imekua sio riziki ila kila siku napata taarifa. Nataka nijitoe kwenye huduma hii ila nimeshindwa kujitoa. Naomba msaada namna ya kujitoa.
Ww hiyo no uliyojiunga nayo ukiandika neno ONDOA inagoma bado?Nimewapigia mtandao wakanijibu wao hawahusiki wanaohusoka ni watu wa afya.
Dah,, waulize tena ama nenda kwa ofis za line yakoNdio inagoma ndugu!
Hiyo avatar yakoDah,, waulize tena ama nenda kwa ofis za line yako
Paja la dada yenu mangeHiyo avatar yako
Nilijua lako.Paja la dada yenu mange