Msaada namna ya kufungua channels kwenye smart TV

Prince Nadheem

JF-Expert Member
Feb 25, 2012
1,253
1,028
Habari za majukumu wanajukwaa!! Kwa mara nyingine nakuja kweny jukwaa hili endelevu nikiomba msaada.
Ni hivi baada ya kujipinda na mie nikaweka chini chogo na kuvuta Samsung Smart TV model 4303.
Awali nilisoma pahali kuwa ukiwa na hii TV free channels zooote kama vile Clouds, e.tv, EATV etc utakuwa wazipata bila shida.
Sasa baada ya kufika nikachukua ki-antenna changu cha Star times nikafunga na ku-tune.
Hizo channels zooote zimekuja ila shida sasa zimekuwa scrambled.
Naombeni msaada wa jinsi ya kuzi-access hizo channels na zingine kama zipo.
Natanguliza shukurani
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Duh!! Wanajukwaa mmenitosa kweli??
Wapi Njunwa mavoko, @Chiefmkwawa,@ymolell na wengineo

itakua labda antenna yako haijawa elevated juu zaidi au direction ilipo sio sahihi

Baada ya Continental kufunga zao zilibaki channel mbili za local ITV na CH10 nafikiri

ila juzi out of curiosity niligundua kuna channel kibao kwa sasa almost local zote na nyinginezo kama Al jazeera sijajua provider aloziacha wazi ni nani!

Currently natumia hizo Terrestrial TV channels Kingamuzi ni DVB-T2 hivo fatilia pia TV yako kama ni T/T2 sijui kama DVB-T itashika sawa na mimi wa T2.
 
itakua labda antenna yako haijawa elevated juu zaidi au direction ilipo sio sahihi

Baada ya Continental kufunga zao zilibaki channel mbili za local ITV na CH10 nafikiri

ila juzi out of curiosity niligundua kuna channel kibao kwa sasa almost local zote na nyinginezo kama Al jazeera sijajua provider aloziacha wazi ni nani!

Currently natumia hizo Terrestrial TV channels Kingamuzi ni DVB-T2 hivo fatilia pia TV yako kama ni T/T2 sijui kama DVB-T itashika sawa na mimi wa T2.
Hyo aliyeziachia free ni digtek , na wanapatikana kwa frequency hii 490 kwa antena kupitia T2 terresterial signal ila sio local zte ziko hpo mfno clouds haipo kwnye package yao
 
Back
Top Bottom