Msaada namna ya kufikisha malalamiko JWTZ

Pole kwa yaliyokukuta mwaka jana nilishuhudia Lori lao lililokuwa kwenye mwendo kasi na kuparamia haisi yenye abiria na kuua watu 6 na majeruhi mengi!! Walichofanya waliwabeba wakawapeleka hospital ya jirani, na kuondoka zao!!

Hawa Jamaa ni washenzi sana, Ila Taifa la wajinga tumeridhika kunyanyaswa na wao, Hii nchi JWTZ, TISS, CCM wako juu ya sheria
 
Kakimbia kwa sababu anajua ni kafanya kosa, ila ungekuwa umesababisha wewe, basi angesimama na angekushughulikia, ungewahi mapema kuita trafiki mbona angejitaja huko alipo, mkuu wake angemuwajibisha, uzuri wa hawa jamaa hawanaga kutazamana usoni, kama katenda kosa mwenzao watamuwajibisha vikali.
 
Habari za usiku wapendwa katika bwana.

Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.

Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.

Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.

Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.

Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.

Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.
Mkuu tengeneza pikipiki yako uendelee na maisha mengine hao jamaa wana mambo za kiwaki sana watakupotezea muda
 
Habari za usiku wapendwa katika bwana.

Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.

Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.

Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.

Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.

Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.

Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.
Pole mzee
 
Habari za usiku wapendwa katika bwana.

Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.

Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.

Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.

Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.

Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.

Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.
Cha kufanya kwa kuwa umekalili nambar za gali nendanazo tra watakueleza jina la mmiliki wa gali hilo kisha nenda kambini kwao ila ujue watapangwa msitali uchague huyo alie kugonga kama ujakalili sura yake ni ngumu kumtambua sababu watitwa wengi wamevaa magwanda ya kufanana na kofiya ila nambar za gali ndio msaada wako lakini umelipoti kituo cha polisi?
 
Habari za usiku wapendwa katika bwana.

Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.

Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.

Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.

Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.

Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.

Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.

Uyo aliekugonga namjua iyo ni zile town hiace ipo kama alphad kwa mbele.

Iyo ni traffic case nenda police kitendo cha traffic waelezee na toa ushahidi wako watakupa PF3 pia watakupa rb no iyo ndo utaenda nayo pale kambini na utaratibu utambiwa na hao hao traffic.

Ukifika kambini ibabidi muelezee useme siku ulifanyiwa ilo tukio na muda ili wajue muhusika alokua na gari siku iyo na kama unamkumbuka itakua vizuri zaidi ila pia nahuakika ni uyu nayemjua maana ndo hua anapenda sifa za ovyo na hua anaendesha ilo gari mala nyingi na utarudishiwa ghalama zako nakuhakikishia
 
Back
Top Bottom