Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,057
- 74,465
Ushauri mbaya!siku nyingine na ww ukimkuta mjeda kasimama kizembe road mplekee boda boda mvunje miguu alfu sepa
Ushauri mbaya!siku nyingine na ww ukimkuta mjeda kasimama kizembe road mplekee boda boda mvunje miguu alfu sepa
Pole kwa yaliyokukuta mwaka jana nilishuhudia Lori lao lililokuwa kwenye mwendo kasi na kuparamia haisi yenye abiria na kuua watu 6 na majeruhi mengi!! Walichofanya waliwabeba wakawapeleka hospital ya jirani, na kuondoka zao!!
Mkuu tengeneza pikipiki yako uendelee na maisha mengine hao jamaa wana mambo za kiwaki sana watakupotezea mudaHabari za usiku wapendwa katika bwana.
Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.
Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.
Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.
Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.
Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.
Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.
Ni huzuni sanaHawa Jamaa ni washenzi sana, Ila Taifa la wajinga tumeridhika kunyanyaswa na wao, Hii nchi JWTZ, TISS, CCM wako juu ya sheria
Pole mzeeHabari za usiku wapendwa katika bwana.
Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.
Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.
Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.
Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.
Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.
Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.
Cha kufanya kwa kuwa umekalili nambar za gali nendanazo tra watakueleza jina la mmiliki wa gali hilo kisha nenda kambini kwao ila ujue watapangwa msitali uchague huyo alie kugonga kama ujakalili sura yake ni ngumu kumtambua sababu watitwa wengi wamevaa magwanda ya kufanana na kofiya ila nambar za gali ndio msaada wako lakini umelipoti kituo cha polisi?Habari za usiku wapendwa katika bwana.
Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.
Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.
Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.
Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.
Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.
Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.
Acha kumuogopesha weweMmmmh mmmh pole sana ila kambini sio chooni mzee usiende kizembe
Ukuelewa alicho kiandikaGari ya jeshi ni treni wewe ndo umeigonga, asee njoo mwenyewe utengeneze gari letu, learner wewe
Kama vp awatimbie tu camp..Mmmmh mmmh pole sana ila kambini sio chooni mzee usiende kizembe
Usimdanganye acha atafute haki yakeWanateteana sana hao...achana nao utapoteza muda wako tu
Habari za usiku wapendwa katika bwana.
Leo nimepatwa na ajali iliyosababishwa na dereva wa JW aliyekuwa akiendesha gari aina ya hiace ndogo ivi yenye namba 1834 maeneo ya Ofisi za jiji Mwanza.
Nikiwa natokea maeneo ya maji haouse nikiendesha ki TVS changu, nilipofika yalipomataa pale maeneo ya jiji ghafla gari hiyo ili ni overtake upande wangu wa kulia kisha ikakata kona ya ghafla ili kuelekea maeneo ya seketure.
Gari iliniparamia ubavuni na kupelekea kuanguka pembeni, Nikiwa pale chini dereva wa gari husika aliliondoa kwa kasi kiasi cha kusababisha kuendelea kunisukuma zaidi.
Kwavile sikuwa na mwendo mkali sikuumia sana zaidi ya kupata maumivu mguu wa kulia na hii imesababishwa na vile alivyonipush akitokea upande wangu wa kulia, pia pikipiki imepata hitirafu kidogo.
Dereva wa gari husika hakutamka chochote pia hakushuka ndani ya gari, aliendelea na safari yake.
Naomba kufahamu ni vipi nitatoa malalamiko yangu kuhusu hili tukio ili ndugu zetu hawa wawe na nidhamu wanapokuwa barabarani, niende polisi au niende kambini kwao maeneo ya Airport.