Msaada, namna ya kufanya data recovery kwenye iphone

theearth

Member
Feb 9, 2017
81
90
Wadau! Natumaini mpo poa na harakati za kimaisha zinaendelea.

Hivi karibuni nilikikuta Sina ujanja, ikanidi nilirestore simu yangu (iphone) tukio Hilo lilipelekea kupoteza data zangu zote zilizokuwepo kwenye simu na Kwa Bahati mbaya sikuwahi kufanya backup sehemu yeyote.

Data zilizokuwepo kwenye simu ni muhimu sanaa kwangu ila sikuwa na namna nyingine zaidi ya kurestore simu.

NIMEKWAMA, NITASHUKURU SANAAA KAMA NIKIPATA NAMNA YA KUFANYA DATA RECOVERY.

ASANTENI.
 
Data unazotaka zipo kwenye mfumo gani? Message ,pictures ,Documents au???? Specific
 
Kwani Iphone zinatumia OS gani? Kama ni Android basi kwenye mtandao kuna free apps za ku-recover data kwa kutumia computer, ila kwa Iphone sina uhakika kama tools hizo ziko freely available, jaribu kucheck.
 
Kwani Iphone zinatumia OS gani? Kama ni Android basi kwenye mtandao kuna free apps za ku-recover data kwa kutumia computer, ila kwa Iphone sina uhakika kama tools hizo ziko freely available, jaribu kucheck.

Sidhani kama OS zake zinaingiliana na Android, naona zipo tofauti sanaaa.

Nimejaribu kucheck Ila bado sijafanikiwa.
Shukrani
 
Kwani Iphone zinatumia OS gani? Kama ni Android basi kwenye mtandao kuna free apps za ku-recover data kwa kutumia computer, ila kwa Iphone sina uhakika kama tools hizo ziko freely available, jaribu kucheck.
Zinatumia iOS tu kama hajaweka icloud hizo data sijui kama inawezakana kuzirudisha tena.
 
Zinatumia iOS tu kama hajaweka icloud hizo data sijui kama inawezakana kuzirudisha tena.

Mkuu ndiyo maana nimesema kama OS si Adroid ambayo ni open source i.e anyone mwenye ujuzi wa Linux OS distros can tinker around na Adroid kwa kui-customise unavyotaka, lakini linapo kuja suala la a Proprietary software kama iOS za Apple hapo nadhani kuna ugumu kidogo - maanake firmware zao sio open labda ukiwa an Authorised dealer servicewise that is, I might be wrong.
 
Mkuu ndiyo maani nimesema kama OS si Adroid ambayo ni open source i.e anyone mwenye ujuzi wa Linux OS distros can tinker around na Adroid kwa kui-customise unavyotaka, lakini linapo kuja suala la a Proprietary software kama iOS za Apple hapo nadhani kuna ugumu kidogo - maanake firmware zao sio open labda ukiwa an Authorised dealer servicewise that is, I might be wrong.
Ok uko sahihi, au awasiliane na apple kuona kama watamsaidia chochote.
 
Ok uko sahihi, au awasiliane na apple kuona kama watamsaidia chochote.

Oh yes, tembelea website ya Apple/iPhone ukishapata jaribu kutafuta section ya SERVICE - select type/version ya simu yako - kama hawana uchoyo watakuoyesha section ya ku down load software zao na tools za kukusaidia kutatua tatizo kwenye simu yako - jaribu mkuu, alafu utupatie feedback ili na wengine wanufaike. CHEERS.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom