Msaada namna ya kuepuka usingizi wakati wa kusoma

1. fanya mazoezi daily.
2. hakikisha unapata walau masaa 7 ya kulala usiku.( hakikisha pia hulali sana, usilale zaidi ya masaa 8 kw siku).
3. Tenga muda mzuri wa kusoma, sio muda wote utaweza kusoma na ukawa active with full concentration. inashuriwa upange muda wa asubuhi kwa ajili ya kusoma vitu vigumu na jioni kwa vitu vyepesi.
4. hakikisha unaweka mazingira rafiki ya kusoma, ukisoma juu ya kitanda hapo utakua unajidanganya.
5. tafuta kampan wakat wa kusoma, mkiwa wawili mnasoma unaweza kupata morale na ww ya kuchimba.
6. Take short breaks wakat unasoma, usisome tu mfululizo. kwa kila lisaa 1 la kusoma make sure unatenga 10 minutes kwa ajili ya kupumzika kdogo.
7. Diet is also important, too much consumption ya sugars itakufanya ujisikie mchovu muda wote.
8. drink enough water, ubongo unakua mzito sana ukiwa dehydrated.
9. Kaa mbali na destructions wakati wa kusoma ili ubongo nao uweze ku concentrate kwenye kusoma.
10. last but not least, make sure unajenga mutual interest na unacho kisoma, yaani penda masomo yako, ubongo unakua excited unaposoma masomo ambayo unayapenda na unakua na resisting effect kwa masomo usiyoyapenda.
Nashukuru sana.
Naenda kufanyia kazi ushauri wako in shaa Allah
 
Wazee nimeona niseme jambo hili huenda nikapata utatuzi kutokana na ushauri wenu.
Kwa sada ni mwanafunzi wa chuo flan hivi.
Mara kadhaa nilipokua high school nilikua nasumbuliwa na tatizo la kulala pindi mwalimu akitoa lecture ajabu ya mambo mwl alitoka usingizi unaenda zake.
Alhamdulilah haikunidhuru mpaka kufikia kushindwa kusoma kabsa.
Ila huku chuo mambo ni mengi sana licha ya ile hali ya kulala darasani kuendelea sasa hivi imekua hata nikishika daftari kuanza kupiga msuli usinginizi nao huo.
Najaribu kuanza kulala ili nikiamka niwe na nguvu kubwa ya kusoma lakini wapi! Ama kweli usingisi kiboko.
Nipe ushauri ewe msomi
Unatakiwa kuombewa kupitia jina LA Yesu
Maana unafatiliwa na pepo LA ujinga
 
Fuata baadhi ya shauri za kujenga hapo juu.. pia usikae mbali na group discussions.. na ujitahidi uwe mchangiaji uliye hai
 
Nashukuru sana.
Naenda kufanyia kazi ushauri wako in shaa Allah
Pia kusinzia ni dalili za uchovu! Pata maji mengi kula vizuri na pata muda wa kulala ni mwimu zaidi!!!

Alafu usiwe unashindilia msosi mzito kabla ya kwenda pindi au kusoma...na kama ukipata heavy meal jitahidi kupumzika na sio unaenda one way darasani
 
Je mazoezi mazito zaid yanaweza kuna effect mbaya katika hilo ninalo hitaji?
Hayawezi, mimi nilikua nasoma huku nafanya mazoezi ya kunyanyua uzito (sipendi kusema kunyanyua vyuma) na sikupata effects mbaya zozote.
Tafadhali naomba maelezo ili ninufaike zaid jinsi ambavyo mazoezi yanaweza kutatua tatizo langu
Mimi usingizi haukuwahi kunitawala nashindwa nikwambiaje juu ya mazoezi kukusaidia.
Ila watu wengi huona kua kuutumikisha mwili kutafanya ulale usingizi unavyohitajika hivyo hautasumbuka pale utakapokua macho.
 
1. fanya mazoezi daily.
2. hakikisha unapata walau masaa 7 ya kulala usiku.( hakikisha pia hulali sana, usilale zaidi ya masaa 8 kw siku).
3. Tenga muda mzuri wa kusoma, sio muda wote utaweza kusoma na ukawa active with full concentration. inashuriwa upange muda wa asubuhi kwa ajili ya kusoma vitu vigumu na jioni kwa vitu vyepesi.
4. hakikisha unaweka mazingira rafiki ya kusoma, ukisoma juu ya kitanda hapo utakua unajidanganya.
5. tafuta kampan wakat wa kusoma, mkiwa wawili mnasoma unaweza kupata morale na ww ya kuchimba.
6. Take short breaks wakat unasoma, usisome tu mfululizo. kwa kila lisaa 1 la kusoma make sure unatenga 10 minutes kwa ajili ya kupumzika kdogo.
7. Diet is also important, too much consumption ya sugars itakufanya ujisikie mchovu muda wote.
8. drink enough water, ubongo unakua mzito sana ukiwa dehydrated.
9. Kaa mbali na destructions wakati wa kusoma ili ubongo nao uweze ku concentrate kwenye kusoma.
10. last but not least, make sure unajenga mutual interest na unacho kisoma, yaani penda masomo yako, ubongo unakua excited unaposoma masomo ambayo unayapenda na unakua na resisting effect kwa masomo usiyoyapenda.
Shukrani zimuendee mkuu google
 
Kusoma kuna hitaji ubongo ambao upo tayari na ambao haujachoka

Mara nyingi watu wanashauri sehem tulivu

Ila kwenye sehem tulivu wengi wanapitiwa usingizi

Nacho kushauri

Amka asubuh kama kumi au kumi na moja oga vaa kabisa vaa nguo safi tafuta sehem yenye upepo wa wastani soma mpaka saa moja kasoro nadhan itafaa
 
Pia kusinzia ni dalili za uchovu! Pata maji mengi kula vizuri na pata muda wa kulala ni mwimu zaidi!!!

Alafu usiwe unashindilia msosi mzito kabla ya kwenda pindi au kusoma...na kama ukipata heavy meal jitahidi kupumzika na sio unaenda one way darasani
Yaa hii nakubali.
 
Hivi watu wanaposema mtu asikose masaa angalau nane ya kulala ratiba yao ikoje?
Nilipokua advance sikumbuki kama niliwah kulaa masaa yte hayo
Sasa sjui kama chuo yatapatikana
 
Embu mkuu naomba unieleze na mm hayo mambo ya kitaalam ambayo hukuwahi kuyajua. Maana na mm ndiyo ninalalaa mpaka nahic kufeli feli
Ni mambo ya kitaalam yani ya kitabibu
Kuna kitu kinaitwa narcolepsy disoder
Em kagoogle watakuletea maelezo mazur zaid
Au mchek inbox jamaa yule
 
Back
Top Bottom