Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
Jamani WhatsApp wameniambia namba yangu ya WhatsApp iko Banned ila sijui chanzo wala tatizo nililolifanya naombeni msaada jamani.
Hapana natumia WhatsApp messenger plus ile ya kawaida kabisa.Labda ulikua unatumia unofficial whatsaap zile GB whatsaap.
Hawezekan, Iliyopigwa ban ni number.Delete account yako kisha anza upya!
Au una ma group mengi sana na una paste spams umekua reported.Hapana natumia WhatsApp messenger plus ile ya kawaida kabisa.
Ok, kwanza pia inaonekana hiyo namba aliyoitumia kwa ajili ya kutumiwa verification msg haiko hewani.Hawezekan, Iliyopigwa ban ni number.
Sasa hapo ndo hawataki kunijuza na niliwatafuta kwa email na wanadai hawawezi nambia sababu, ila wanadai tu nilikinzana na terms na conditions zao, but sijui kivipi...?Kunaactivities umefanya ambazo zinakinzana na terms and conditions ulizokubaliana nao.
Nimejaribu kudelete account but kila nikiingia kwa kutumia ile previous number wananambia iko banned bado.Delete account yako kisha anza upya!
Fact number ndo imepigwa ban na sio account.Hawezekan, Iliyopigwa ban ni number.
Nimeshajaribu ila wapiWatumie email, Iyo namba wataifungua within a day.
Hapana Sina magroup mengi kaka, yapo Kama ma5Au una ma group mengi sana na una paste spams umekua reported.
Ipo hewani mda woteOk, kwanza pia inaonekana hiyo namba aliyoitumia kwa ajili ya kutumiwa verification msg haiko hewani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshafanya hayo yote but wamegoma
Nitumie pm kakaKunasample email moja niliipata kutoka kwa wahindi fulani hivi. Iliniweezesha number yangu kuwa unban with a day.