Msaada: Naitaji kulima mpunga (saro), naitaji mawazo yenu

Anotsitse

Member
Sep 18, 2017
5
4
Habari zenu humu jamvini,nina mtaji wa shilingi laki Saba ,pia Nina eneo la Eka tatu jirani Na mto wami Morogoro .Baada ya mfumuko wa bei ya mpunga nimehamasika kulima mpunga Aina ya Saro Eka mbili,tafadhali naomba MAWAZO yenu.
 
Hio mbegu INA toa mazao mengi sana huku kwetu unaweza kutoa hadi gunia 40 kwa hekari sasa tatizo bei yak ni ndogo kuliko mpunga wowote ule sababu INA Michele mbaya sana
 
hata kama una ardhi tayari lakini kwa laki saba haitoshi:
je una mbegu za mpunga za kutosha ekari tatu?
je umeandaa pesa ya chakula kwako na wasaidizi wako?
je umeandaa pesa ya kulinda ndege?(kama wapo)
hivyo kwa ushauri wangu jaribu kukaa chini na kufikiria vitu vingi kabla ya kuanza ili usije ukafanya vitu vya kuwachekesha walionuna.
 
Back
Top Bottom