Nidm pliz tuongee
Maeneo gani ?Huku kukatua 50,000
Kuvuruga 50,000
Kupanda 50,000
Palizi 50,000
Kukodi 100,000
Kuvuna 100,000
Hapo mpunga upomkononi mwako
Ufoo saro au?
Hahahaaaa mkuu m ntafta shamba nilime mwez wa 10 huu ntaka nimulizie aiseeOngea hapa jukwaani tuelimishane
Mkuu huyo anataka kutongozwa mwache mdau amshukie huko huko PM!!Ongea hapa jukwaani tuelimishane
Hapo hakuna kumwagilia, madawa wala kuchunga ndege?!Huku kukatua 50,000
Kuvuruga 50,000
Kupanda 50,000
Palizi 50,000
Kukodi 100,000
Kuvuna 100,000
Hapo mpunga upomkononi mwako
Unaitaji za kukodi au za kununua mkuu?naomba kujua mkuu kama naweza kupata ekari za kilimo uko
Sawa mkuu nashukuru Kwa ushauri.Laki saba inatosha kwa eka moja tu. Usiwaze eka mbili hasa kama watarajia kupanda kitaalamu labda kama ni wa kurusharusha mbegu unaishia kuvuna gunia saba kwa eka
Huku kukatua 50,000
Kuvuruga 50,000
Kupanda 50,000
Palizi 50,000
Kukodi 100,000
Kuvuna 100,000
Hapo mpunga upomkononi mwako